Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha Ikulu jijini Dar es salaam viongozi wa Chama cha madaktari nchini muda mfupi uliopita. Mkutano wake na Wazee wa Jiji la Dar es salaam umeahirishwa hadi kesho.
Kwa mkwerreee sijui.bora wamekutana labda kuna kipya tutasikia
Mliosomma MUCHS, Mmemuona Deo aka DUKES akimpa mkono prezidaaa, nexk uli......upss! WAPI Namala. Nadhani ameshauliwa awaone ma-dr kabla ya vile vichawi vinavyorudisha nchi yetu nyuma ili ibaki vilevile kabla ya uhuru.Mtu akinisalimia huku ameweka mkono mfukoni huwa namtukanaga kimoyomoyo..ni dharau !!!!
waponiege bosa, bha masukulu tulitwesajf idumu na itadumu kwa nguvu za muumba wa ardhi na mbingu na vyote vilivyomo magamba na wenye hira washindwe.
Namaanisha hata sisi wa huku masoko kisu kya njala {tukuyu} tunapata latest kabla hazijachakachuliwa na tbc.
Updates ni muhimu sana comrade
hongera kwa kunyofoa picha kwenye uzi na kuianzishia thread. sasa unge-paste maelezo ya kule pia incase anayeona hii picha hajapita kwenye ile thread kule ya live meeting
Mtu akinisalimia huku ameweka mkono mfukoni huwa namtukanaga kimoyomoyo..ni dharau !!!!
hawa jamaa kama ni wajanja wasile kitu chochote humo maana nyerere alishasema ikulu si mahali pazuri hata kidogo..
ushamba wako tu kwani kusalimia lazima? Mie ukinisalimia nakutukana tu maana unanipotezea mda.
samahani mkuu, sikujua kama hii picha ipo kwenye thread yako coz hiyo thread sijaiona. kama vipi mwambie mod aziunganishe ili tuishi salama jamvini.
Kwa hiyo avatar yako, hilo halishangazi.
Ayawi ayawi na sasa yamekuwa! ukiingia ikulu lazma uwe kama mbwa na chatu! kwisg habari yao madokita, kesho kazn kama kawa, ashukuriwe mungu mgomo kwishinei waungwana.