Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,475
Mliosomma MUCHS, Mmemuona Deo aka DUKES akimpa mkono prezidaaa, nexk uli......upss! WAPI Namala. Nadhani ameshauliwa awaone ma-dr kabla ya vile vichawi vinavyorudisha nchi yetu nyuma ili ibaki vilevile kabla ya uhuru.
Deo kichwa, mtabu mzima kauweka kichwani, halafu anakubishia huku anacheka na wewe.