Nimeongia kwenye Tv Mpya hapa kwa jina JTV mara namuona JK akisakata rumba huku anakula popcorn!
Nimejiuliza ni tangazo la biashara au jamaa ana ubia na tv hii?
All in all jamaa yuko vizuri sana kwa steps za muziki hadi Mwakiembe anabaki kushangaa tu hapa!
Big up JK.
Nimejiuliza ni tangazo la biashara au jamaa ana ubia na tv hii?
All in all jamaa yuko vizuri sana kwa steps za muziki hadi Mwakiembe anabaki kushangaa tu hapa!
Big up JK.