Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Hajasign kwa sababu ifuatayo
1.Bse bunge limekomaa na watu wake wa karibu akina Jairo na Luhanjo so anataka kuwakomoa kuwa nae anaweza
or
2.Yuko bize na maandalizi ya sherehe za uhuru
or
3.Anatafuta umaarufu hasa baada ya ngumi za usoni za Lowasa kule NEC
1.Bse bunge limekomaa na watu wake wa karibu akina Jairo na Luhanjo so anataka kuwakomoa kuwa nae anaweza
or
2.Yuko bize na maandalizi ya sherehe za uhuru
or
3.Anatafuta umaarufu hasa baada ya ngumi za usoni za Lowasa kule NEC