Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Anasubiri kwanza asikie kuna wabunge fulani wanataka kuonana naye Ikulu kutoa maoni kuhusu posho, halafu baadaye NEC ya CCM itoe ruhusa kwa makundi mengine kumuona pia, halafu litokee kundi lingine kumtembelea Ikulu kupeleka maoni yake, halafu ndio atie saini na kusema mjadala wa posho unaruhusiwa kuendelea hata baada ya saini yake!
Mkuu huu u-great thinker hapa umetulia! Na inawezekana kufanya hivyo.