kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
pale nchi inapoendeshwa kwa mfumo wa feedback badala wa feedforward kazi kweli kweli
Kazi kweli kweli. nuktaBado sijaelewa kitu hapo.
It doesn't matter.....In Tanzania.. everything is possible.. hata kama posho ingepandishwa to 70,000 hadi 1,000,000 kwa siku.. Watu watapiga kelele, wataandika kwenye magazeti, wataandika kwenye blog & JF, lakini at the end, watarudi kwenye umasikini, kulala kwenye giza, kukosa maji, kukosa madawa, kukosa chakula na mwisho watu watatoa tabasamu pevu kwa wale wanao-wadhulumu.. ..Ni moja ya maajabu 7 ya dunia! Where is our line in a Guinness World Records book?
It doesn't matter.....In Tanzania.. everything is possible.. hata kama posho ingepandishwa to 70,000 hadi 1,000,000 kwa siku.. Watu watapiga kelele, wataandika kwenye magazeti, wataandika kwenye blog & JF, lakini at the end, watarudi kwenye umasikini, kulala kwenye giza, kukosa maji, kukosa madawa, kukosa chakula na mwisho watu watatoa tabasamu pevu kwa wale wanao-wadhulumu.. ..Ni moja ya maajabu 7 ya dunia! Where is our line in a Guinness World Records book?