Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Wakti wa uzinduzi ujenzi wa Barabara ya New Bagamoyo JK aliendelea kuishutumu Wizara ya Ujenzi kwa kusema hadharani kwamba:- Wananchi kujenga kwenye Hifadhi ya Barabara ni Uzembe wa Wizara na Tanroads.
Jamani kuna Mantiki hapo kuishutumu Wizara na Tanroads?
Vipi habari ya kuchakachua noti mpya mbona hatujaskia kauli kali kama hiyo kwa wizara husika?
Jamani tubadilishane mawazo!!!
Jamani kuna Mantiki hapo kuishutumu Wizara na Tanroads?
Vipi habari ya kuchakachua noti mpya mbona hatujaskia kauli kali kama hiyo kwa wizara husika?
Jamani tubadilishane mawazo!!!