Kikwete aendelea kumshambulia Magufuli

Mbona hakumkemea SHUKURU KAWAMBWA?

Hivi hujuhi kuwa ufisadi umeshamiri wakati gani wizara ya ujenzi?
just to remind you kuwa Magufuli alipoingia wizarani alilalamika sana na kuwa gharama kujenga barabara kwa 1 KM ni kubwa kuliko zilizopo Africa mashariki na kati.
Mikataba aliyoikuta mingi ni 1 KM kwa 1.8 Billion, sasa yeye kasaini mipya juzi mfano wa barabara ya Iringa mpaka Dodoma kwa 1 KM kwa 0.8 billion.
Kwanini tusimkamate shukuru kawambwa hatueleze chenji zetu ziko wapi? na bado barabara zenyewe ni za KICHINICHINA.

Kama alinyamaza kwa Kawambwa sasa si amesema? Wewe huna data hata kidogo toa mfano wa barabara ambayo imejengwa kwa Tshs. 1.8 billion kwa km. Mnamsema kuwa ni mpole sasa leo mmemuona kachukia baada ya kugundua njama za kuliibia taifa mnaanza tena kusema alikuwa wapi. Kama alikuwa wapi sasa yupo, amesikia kilio cha watanzania. Umeona moto wake kuhusu kiwanja cha simba? Wabomoe na kama walilipwa basi walipe kutoka mifukoni mwao. Sasa Rais Kikwete amenza kuonyesha makucha yake
 
Akikaa kimya mnadai kuna vacuum ya uongozi, akikemea eti anawaumbua mawaziri wake!
Acheni uchokozi!
JK amefanya vema kabisa kutoa tahadhari kwa wizara ya Ujnzi kwa uozo unaoonekana.Uozo uliopo si wa Kawambwa wala Magufuli.Magufuli amefanya vema kumng'oa Mrema pale TANROADS maana ndio ulikuwa uchochoro mkubwa wa ufisadi.
Hatuna nia ya kurudi kwa fisadi aliye mteua Mrema katika nafasi ile , lakini Magufuli amekuta madeni ya zaidi ya Tshs 300bn pale TANROADS.
Barabara kama KiLWA Rd imejengwa kwa usimamizi wa wahandisi wa Wizara ya Ujenzi na TANROADS, wao wakabaki kucheka na nyani.
Leo kwa barabara ya Kilwa tunakula mabua, utafikiri Wizara na Tanroads hakuna wahandisi-ni aibu kubwa sana hii.
TEMA MOTO JK!!
 
Wakti wa uzinduzi ujenzi wa Barabara ya New Bagamoyo JK aliendelea kuishutumu Wizara ya Ujenzi kwa kusema hadharani kwamba:- Wananchi kujenga kwenye Hifadhi ya Barabara ni Uzembe wa Wizara na Tanroads.

Jamani kuna Mantiki hapo kuishutumu Wizara na Tanroads?

Vipi habari ya kuchakachua noti mpya mbona hatujaskia kauli kali kama hiyo kwa wizara husika?

Jamani tubadilishane mawazo!!!

Basi wewe mpangie Rais yupi wa kumshambulia mwanzo na yupi wakufuata!
Magufuli mwenyewe anacheza dansi kwa furaha wewe unatuletea pumba hapa!
 
Uwezo tunao, uko right ila usishangae na wewe umo kwenye wagonjwa, obvious tanzania nzima tunaweza kuwa wateja wa kilonzo na Mbatia! eeeeh mola tunusuru sisi waja wako twafwa bojo!
 
Usanii mtupu, wanaopandisha bei za ujenzi wa barabara waliletwa na Andrew Chenge na wakapata chati wakati wa Kawambwa... Jamaa alikuwa kimya ndo ameibukia leo kukemea kwa Magufulu, Huo ni usanii

Basi mpangie yupi wa kumkaripia usilalamike tu!
 
Tatizo sio kukemea au kukaa kimya bali kinachoshutumiwa hapa ni ukosefu wa busara katika kufanya hivyo.

Busara gani unayoitaka wewe? Kwani wewew huna busara unaposema kinachokuuza hapa kwenye forum. Basi ungesemea huko huko nyumbani ili nawe uwe wa busara!
 
Cheap popularity won't help him here,he better stick to his duty . Hivi mbona watu hawajui maana ya Subordination na insubordination? Your Excellency,let Hon.Magufuli be!
As far as I saw Magufuli dances I doubt he did care as you many try to make us believe.
 
Wakti wa uzinduzi ujenzi wa Barabara ya New Bagamoyo JK aliendelea kuishutumu Wizara ya Ujenzi kwa kusema hadharani kwamba:- Wananchi kujenga kwenye Hifadhi ya Barabara ni Uzembe wa Wizara na Tanroads.

Jamani kuna Mantiki hapo kuishutumu Wizara na Tanroads?

Vipi habari ya kuchakachua noti mpya mbona hatujaskia kauli kali kama hiyo kwa wizara husika? Jamani tubadilishane mawazo!!!

Sidhani kama JK kamkemea Magufuli. Kwa kiasi kikubwa kamjenga na kumpa nguvu afanye kazi yake akijua nyuma yupo kiongozi wake mkuu akimpa sapoti. na kama ulimuona Magufuli hakuwa amesononeka kama siku alipotembelewa wizarani. Leo alikuwa mwenye furaha na kupigilia msumari kuwa JK asijemsikiliza mtu yeyote yule akimwendea kulalamika. JK kwa mara ya kwanza nimemuona akizungumza kwa hisia ya uchungu kuhusu genge la wezi waliojipanga kuwaibia wananchi - sasa tunasubiri VITENDO. Watu humu wanasema anataka popurality - imsaidie nini mtu tayari anamaliza ngwe yake ya mwisho. Anachotaka sasa ni kujenga legacy kwa wananchi ili taifa lije mkumbuka kwa vitu kama Katiba nk
 
Thank you Mr. President... Go ahead achana na wazmbe wengi humu JF ambao hata ukweli wanaukataa. basi wakanywe dawa loliondo
 
Sidhani kama JK kamkemea Magufuli. Kwa kiasi kikubwa kamjenga na kumpa nguvu afanye kazi yake akijua nyuma yupo kiongozi wake mkuu akimpa sapoti. na kama ulimuona Magufuli hakuwa amesononeka kama siku alipotembelewa wizarani. Leo alikuwa mwenye furaha na kupigilia msumari kuwa JK asijemsikiliza mtu yeyote yule akimwendea kulalamika. JK kwa mara ya kwanza nimemuona akizungumza kwa hisia ya uchungu kuhusu genge la wezi waliojipanga kuwaibia wananchi - sasa tunasubiri VITENDO. Watu humu wanasema anataka popurality - imsaidie nini mtu tayari anamaliza ngwe yake ya mwisho. Anachotaka sasa ni kujenga legacy kwa wananchi.
Uchungu mkuu! Hapana!,jiulize ilo genge la wezi ni zaidi ya akina rostam? Sielewi mkuu uchungu gani
 
Hivi bado kuna wananchi wanamsikiliza huyu kilaza aliyeiba kura na kushindwa kuongoza nchi?
 
Tusizugane hapa kama ni hasira za magenge ya wezi zianzie EPA,Dowans,kagoda,meremeta,IPTL na mengine.hv dowans hawajalipwa kweli! Maana loliondo!
 
waandishi wetu tuache kuipa loliondo big space ili mijadala irudi maana naona nao wanacheza vema na matukio ya loliondo!
 
Mkuu wewe yaonesha wazi kwamba hata taarifa ya habari yenyewe hukutazama,Laiti ungeangalia hiyo habari usingekurupuka.

Ahsante,
Tunaweza kuona au kuangalia kitu kwa tafsiri tofauti na hiyo ni sehemu ya uanadamu kwani hakuna miongoni mwetu anayeweza kujinasibu ni mtimilifu. Nadhani ingekuwa vema ukaweka 'summary' na kurekebisha kile kilichotafsriwa vibaya ndiyo maana ya kujadiliana.
Badala ya ghadhabu na taharuki, tafdhali tueleze mwenzetu ulielewa vipi na kama kuna upotoshaji ili wote tufaidike, tusahihishane na tuombane radhi, ndio utu na ubinandamu.
 
salimia ... usingizi uliolala ni wa udandiaji wa issue usiozifuatilia .... je unajua kwamba urban planning ilifanywa kabla watu hawajavamia road reserves ....wacha kukurupuka na njaa zako ... ardhi ipo nyingi nchi hii ... nyinyi eti mnakimbilia kandokando ya barabara mjenge fremu ..... magufuli anafuata kanuni na sheria kwani road reserve ya highway ya morogoro ni 60 meters from the center of the road ( epicenter of the road camber) both sides sasa wewe unasemaje

be wise ... usilete ushabiki hapa lete hoja .... defend your point .. waliotoa hivyo vibali kwani JK hawajui ....ofisi zao hazijulikani... mbona hawakwamtwi wakawajibishwa .... toka kwenye giza la mchana wewe salimia... unapotoshwa na ushabiki wa kisiasa ...sheria zote zipo wazi kuhusu ardhi na maendeleo

Bora kukaa kimya watu wakahisi tu kwamba u mjinga kuliko kufungua mdomo na wakathibitisha hisia zao kwamba ni kweli. Wewe hata hujui kinachoongelwa hapa.
Blue: Rais alikuwa haongelei barabara ya morogoro ila upanuzi wa Bagamoyo Road ya km 12.9 toka Mwenge hadi Tegeta. Jifunze au kuwa na mazowea ya kujua mdahalo uliopo.
RED: Wewe ungekuwa unajua maana ya neno hilo, usingetumia lugha uliyotumia kwenye post yako ya awali kwenye hii thread,, labda ukai edit sasa, na ninakushauri ufanye hivyo. Au la sivyo utuaminishe kwamba ulikuwa umelewa au si wewe uliyeandika vile. Peruse hili neno Wise kwenye webster dictionary ikiwa hujui maana yake.
Green: Wewe una uhakika kwamba JK anawajua? Hata kama anawajua, je miongozo ya kazi haimpasi kufuata taratibu za kumuagiza waziri na watendaji wake wafuatilie hilo kama alivyofanya? Kama unataka amuendee kila anayemjua basi kuna haja gani ya kuwa na maofisa na watendaji wengine wizarani? Wewe unatakiwa ufabye kazi kwenye cooperates ili ujifunze hata modes of communication itakusaidia.
Siku nyingine usikurupuke kuja kuandika upuuzi kama huu humu ndani.
 
Ahsante,
Tunaweza kuona au kuangalia kitu kwa tafsiri tofauti na hiyo ni sehemu ya uanadamu kwani hakuna miongoni mwetu anayeweza kujinasibu ni mtimilifu. Nadhani ingekuwa vema ukaweka 'summary' na kurekebisha kile kilichotafsriwa vibaya ndiyo maana ya kujadiliana.
Badala ya ghadhabu na taharuki, tafdhali tueleze mwenzetu ulielewa vipi na kama kuna upotoshaji ili wote tufaidike, tusahihishane na tuombane radhi, ndio utu na ubinandamu.

Nimeshaeleza nilivyoelewa miye. Rudi usome post namba 25. Ndiyo maana nasema una tabia ya kukurupuka. Taarifa ya habari hukuangalia ukakurupuka kuchangia bora liende tu. Haya,,, posts za wengine au maoni ya wengi humu yameshaonesha kilichosemwa. Hilo nalo kwako zigo la misumari. Tukusaidieje wewe? mbona una kichwa kigumu hivi lakini?
Ubora wa mijadala hii husitawi pale mtu unapochukua muda kusoma pia maoni yote ya wenzio ndipo uchangie. Sasa wewe unaonekana unaruka tuu husomi ya wenzio na kujikuta ukikurupuka na kuuliza maswali yasiyo msingi kabisa.
 
Hivi bado kuna wananchi wanamsikiliza huyu kilaza aliyeiba kura na kushindwa kuongoza nchi?

Kamwibia nani kura? Hivi wewe unadhani Watanzania wote wanawazimu au bongo zao kama zako! Waongozwe na wanzinzi hapo hakuna wizi wa kura wa Kuchakachuwa ni 'Original dafrao' Kapigwa padre leta ushahidi hapa wa statistics ya kura jimbo kwa jimbo Kama huna nenda msalani kajisaidie kande zimekuvembea wewe, Sisi watanzania tutamsikiliza Kiongozi wetu, Rais wetu Tuliempa kura kwa ridhaa yetu atuongoze.Wewe msikilize huyo unaemkuwadia hawara. Ikulu uingie na hawara ndo maana upadre ulimshinda.
 
Back
Top Bottom