Dubo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 322
- 17
Wakti wa uzinduzi ujenzi wa Barabara ya New Bagamoyo JK aliendelea kuishutumu Wizara ya Ujenzi kwa kusema hadharani kwamba:- Wananchi kujenga kwenye Hifadhi ya Barabara ni Uzembe wa Wizara na Tanroads.
Jamani kuna Mantiki hapo kuishutumu Wizara na Tanroads?
Vipi habari ya kuchakachua noti mpya mbona hatujaskia kauli kali kama hiyo kwa wizara husika?
Jamani tubadilishane mawazo!!!
Mkulo ni Muislam mwenzake ndio maana anamlinda
Mbona alipokuwepo Waziri Kawambwa hajawahi kukemea Tanroad na Wizara na madudu yalikuwepo
Kwasababu ni Muislam mwenzake na wanatoka ukanda mmoja.