Kikwete adai tatizo ni ujamaa!

Sina uhakika kama kasema hayo kwa kuwa source hakuleta conclusive events kuhalalisha mada yake,anyway kasema hakusema, SI SAHIHI kwa Mwanachama au kiongozi yoyote wa CCM kusema tatizo ni UJAMAA. Please kama haya maneno yametoka mdomo mwa mwanaccm No ni HATARI tena kupita HATARI.

ITIKADI YA CHAMA CHA MAPINDUZI ni "UJAMAA NA KUJITEGEMEA"mimi binafsi kama Dotcom Generation sina tatizo na ITIKADI hii au mlengo ambao mwasisi wa Taifa na BABA WA TAIFA aliuanzisha kwa kuzingatia HISTORIA YA YETU WAAFRICA na UTAMADUNI WETU wa kuishi pamoja kama JAMII.

Nadhani ni moja ya watu wachache wenye point za kujibu kwa nini Nyerere alileta ujamaa! congrats

Nyerere alikuwa na nia njema tu, ila usije ukasema ujamaa ulifanikiwa, we are result of ujamaa, uli-fail (measurable), haujaleta faida yeyote ile.

Ki-inchi, pamoja na ujamaa ulivyokuwa na hali ile, yet ilihitaji mtu mwenye akili ku-switch ile hali kuwa bora na walokuja akina Mwinyi na wenzake hawakuwa suitable candidate ku-mreplace Nyerere.

Leo kama Kikwete analalamika, ujue hamna kitu kwenye ubongo anajua tatizo LAKINI IN WHAT EXTENT? hawezi kusema,

Ujamaa ulifail, yet we had good foundation there after to build Tanzania
 
Visingizio visingizio visingizio!!! Sishangai! Hiii ndio culture yetu Waafrika. Mwafrika huwa hakosi mtu/kitu cha kulaumu anaposhindwa kufanya jambo...
By the way naomba tu-list nchi za Afrika ambazo limeendelea kwa sababu hazikufuata siasa potofu za Nyerere za ujamaa!!!
1....
2...
.
 
Ndiyo matatizo ya kukurupuka na kutoa kauli bila kutafakari kwa kina. Dunia ya sasa anayoizungumzia ndiyo ipi? ya kuwakaribisha wawekezaji wasiolipa kodi? Wanaoruhusiwa kuchimba rasilimali na kutuachia 3% tu!? Au wawekezaji wa kutoka Houston, Texas Richmond/Dowans ambao ni matapeli tu na kumbe ni wa Kariakoo tu? Au wale wahindi wa RITES ambao walipewa 51% ya hisa za TRC bila kutoa hate senti moja na sasa wanatakiwa kulipwa $87 millioni, au hawa Wahindi walionunua Zain na Serikali kukosa kodi ya shilingi bilioni 500 kwa uzembe wao wa kufikiri?

Ni aibu kuwa na mtu kama huyu katika nafasi yoyote ile ya uongozi.
KIWKWETE fits on this word: a Cretin!!!!!!!
 
Kikwete has a point! Lakini amesema kama vile siyo Rais! amesema kama vile anapiga porojo

Rais mzuri ni yule anayejua tatizo na kulitatua tatizo, Mkapa alijua watanzania wavivu na akaleta uchapa kazi kwa kupunguza fedha kwenye mzunguko.

Watanzania hawataki kuhuburiwa matatizo yao! wanataka solution , you are the best if not only candidate to solve our problems.

Issues za ujamaa na matatizo yake zimejadiliwa sana humu, ni debatable, ni controversy, kuna nchi nyingi zimeendelea kwa ujamaa, na ziko nchi zenye ubepari leo hii wanatamani ujamaa!

Kikwete pole, haukujua ikulu kuna nini na unatakiwa ufanye nini umebaki kuwa comedian like any other comedian, umebaki kulalamika kama wanaharakati!

Heshima yako ni kujiuzulu tu, wenye akili watakusifia , kwenda na zigo la magogoni mpaka 2015 you may die on the way or you may end up crazy!

You have a point there. Watu wengi sasa wanayaelewa matatizo ya hii nchi so cha msingi siyo yeye kutueleza tena bali ni kutatua, I agree with him completely, kama anataka mabadiliko then aanze kuajiri vijana wenye upeo tofauti ila sasa shida ni kuwa anaongea sana na hiyo imemfanya ajiharibie mapema. Maana amekuwa Raisi wa porojo na solutions hatuzioni. Bora ajiuzulu atabaki na heshima yake.
 
Mkuu haiendi hivyo hata kidogo,ifike mahala unisome nachoandika badala ya kurudia kitu kile kile..Matajiri wote nchi za Kimomunist sii viongozi wao bali Matajiri hata nchi za Kibepari ni koo zile zile za Kiutawala toka kwa Malkia,Mubarak hadi kwa Kenyatta na kina Kamuzu Banda...Lakini maajabu ni kwamba tunawakuta maskini viongozi ktk Ukomunist koo za kina Nyerere, Nasser, Haile Mariam, Samora na wengineo hivyo usitake kujumuisha kila kitu ili kuleta maana ya ujumla.

Nimesema ni kweli utawala wa Kikomunist ulikuwa na mabaya yake ingawa ,malengo yalikuwa mazuri na wataalam wote wa kiuchumi wanakubaliana kwamba Ujamaa ktk mazingira na tabia za binadamu hauwezi kufanya kazi kama kama vile ZBiblia na Kuran zinavyopinga Utajiri kwa kutumikisha wengine. na ifahamike kwamba Ubepari sii mfumo unaokubali utumwa au kuwatumia watu kama ngazi.
Ujamaa unaozungumziwa hapa sio ule unaopinga watu binafsi kumiliki njia kuu za uchumi au kuhodhi mali bali ni Fikra zinazopinga Ukoloni mamboleo kuwa ni sehemu ya Ubepari na ndio utaratibu unavyotakiwa.

Msome vizuri JK na upate kuelewa kwamba watumishi wa Umma wanakuwa na chuki au wivu wanapokuja WAWEKEZAJI wakifikiria kwamba ni wezi, hivyo tuhuma nzima za JK hazihusiani na Ujamaa unaotaka maisha bora kwa kila mwananchi kupitia itikadi na sera zinazoiwezesha serikali kufikia malengo hayo. Na JK hakueleza wazi kama fikra za kibepari anazozipongeza ni zipi dhidi ya Ubepari ambao unatumika leo hii kwa sababu kumtuhumu mtu mwizi ina maana WIZI upo na kuna watu wa naina fulani ndio wanatuhumiwa kwa wezi..
je JK kafanya utafiti kufahamu kwa uhakika kwamba hao wawekezaji sio wezi isipokuwa ni wananchi ndio wenye mawazo na fikra za Kijamaa? je ni Ujamaa unaposhuku rasilimali za nchi kuibiwa na wageni wawekezaji ikiwa hakuna policies zozote zinazolinda mali za wananchi hao..Je ni fikra zipi za Kibepari zinazokubali wawekezaji pasipo safety measures kuwa moja ya taratibu za kudhibiti uhalifu?..

Leo hii mkuu wangu ndani ya Ubepari huwezi kuondoka na Dollar elfu kumi (10,000) Marekani, UK au Canada pasipo kupata kibali lakini unaweza kuondoka/au kuingiza mamillioni Tanzania na tusione tatizo la moneylaundry lkwa sababu utajiri ni wako wewe mwananchi has nothing attached to rule and regulations hata kama hazikulipiwa kodi au zimepatikana kinyume cha sheria...

Mkuu wangu ni wivu na Ujamaa kuulizia kwa nini Barricks wanatupa ruzuku ya asilimia 3 wakati Sinclair akichukua 1.9 ya ruzuku hiyo zetu kwa matangazo na kuinadi migodi yetu..Ni Ujamaa kupinga Ufisadi wa kina Lowassa, JK, Chenge, Mkapa na wengineo kwa sababu wote tuna fikra finyu za chuki watu wengine wanapoendelea.

Na ajabu ya Mungu ni kwamba hawa viongozi ndio wanawatuhumu wananchi na watumishi wa serikali kuwa Waajamaa hali wao viongozi ndio wamekuwa ndani ya Ujamaa na kuutumikia miaka yao yote ya ajira iweje wao wasiwe Wajamaa ila kizazi hiki ambacho kimezaliwa wakati wa Mwinyi maanake ndio wengi utawakuta ktk sekta za uwekezaji, kodi na kuhamasisha wawekezaji..

Sisi hatutaki ku face reality, tunatafuta mchawi kila siku hali UZEMBE mkubwa umetokana na mfumo mzima wa kuiga ku nya kwa Tembo na sasa msamba unapasuka tunajiuliza kama ni uzembe wetu, fikra za Kijamaa na kadhalika hali Ubepari unakwenda na uwezo wenu, yaani tunajipima suti kulingana na mwili wetu ingawaje mshono ni ule ule..Sisi maskini hatuwezi ku apply policies za nchi za nje wala hatuwezi kuendelea kuomba na kupewa masharti hali dunia ya leo ni ya Utandawazi na soko huria.

Tunatakiwa kuwa part of the mzunguko wa kibiashara na sii watumwa ndani ya mfumo huu na ndio maana tume fail na kilichobakia ni kulana sisi wenhyewe..Tanzania imegeuka kuwa uwanja wa mwenye nguvu ndiye atakula nyama, na hii haitokani na Ujamaa bali tumekosa mambo muhimu sana ktk maendeleo ya nchi - UONGOZI BORA...

Kikwete, anasema viongozi wazee ndo wajamaa hivyo waondoke.

Harafu unasema mwe part ya dunia wakati mnawanyima watanzania wenzenu URAIA ambao watawezesha kuwaweka part ya dunia.

Ili uchumi ukue lazima kuwe na mzunguko wa pesa kutoka nje, na sio mzunguko wa ndani kwa ndani, na bahati mbaya wazungu wenyewe wanakuja bila VISA na wanazipatia hapo hapo airport, wanakuja wanachota wanapeleka kwao maana hawazitumii hapo hawana ndugu wala sababu za kuzitumia.

Bahati mbaya , nyie kuomba VISA inabidi usumbuliwe miezi kadhaa biashara yako itaenda na tena hata kama unapesa zako itabidi wazichunguze kabla ya kukupa visa kwamba wewe ni alqaida.

Ujamaa, umejiweka ktk ile hali ya kujifungia , tatizo ni ujamaaa.

Iran, kuna jamaa yao mmoja alikuwa na uraia wa ubelgiji walimuajili ktk ma vinu ya nuklia jamaa kajifunza akaamua kurudi nyumbani ndio Iran ikapata jeuri kwa kupitia kwake wakaanza taratibu taratibu nao nuklia.

Ulaya, ili uajiliwe ktk sekta mhimu ya kuchota utaalamu ni lazima wajiridhishe kwanza wewe ni raia na umeishi pale mda mrefu sasa mtu wenu aliyepata utaalamu huo mna mkataa kwa sababu ya akili za KIJAMAA.

Masomo wanayofundisha darasani hayawezi kuwafanya mgundue ama mtengeneze kitu, kuna kitu kingine ambacho ni siri na hawakitoi hivi hivi lazima wajiridhishe. Endeleeni na ujamaa mtabaki kuwa wazee wa application na propaganda nyingi.
 
Ujamaa na kujitegemea ndio njia pekee ya kuleta ukombozi wa kweli wana wa Tanzania. Si ndio falsafa ya CCM sasa inakuwaje. Kweli CCM imechanganyikiwa na imepoteza uhalali wa kuwa chama cha siasa.:whoo:
 
Haya Mkuu mimi nilidhani utatoa mifano miwili mitatu ya ufisadi wa wale ambao waliokuwa madarakani wakati wa awamu ya Mwalimu waliotajirika na hatimaye kuwa matajiri wa hali ya juu (mabilionea). Usiku Mwema Mkuu.


Vyama vya ushirika na makampuni mengi yalikufa wewe unafikiri yalikufa kwa sababu gani?
 
Kaka

The Chinese, are at the point where they invest in sport franchises, wewe unaongela ujamaa. Hawa washapita na ujamaa longtime; their soo capitalist to the point western 'left side' politacal parties seem radical in their eyes.

Juma Contena,

Naomba usome hii hapa chini kuhusu sera na mfumo wa Kisiasa unaofuatwa na serikali ya PRC.
Fundamental principles of Constitution

The People's Republic of China is a socialist country led by the working class, based on the worker-peasant alliance and practicing people's democratic centralism. The socialist system is the primary system in China.

The Constitution of PRC

The Constitution is the fundamental law of the state. It usually stipulates a country's social system and basic principles of state system, the basic principles of activities and organizations of state departments, and the basic rights and obligations of its citizens. Some constitutions also legalize the national flag, anthem, emblem, capital, and other systems that the government believes touches the lives of its citizens. The constitution is entitled with the highest legislative power. All other laws and regulations have to subject to the constitution and shall be strictly consistent with it.

Prior to the establishment of the People's Republic of China, Common Program of the Chinese People's Political Consultative Conference was adopted. It was not only a common program for the democratic united front of the Chinese people, but was also a temporary constitution for China prior to the adoption of the current Constitution.The Common Program was passed at the First Plenary Session of the Chinese People's Political Consultative Conference on September 29th 1949.
Since the establishment of the People's Republic of China on October 1st 1949, four constitutions have been adopted and amended in 1954, 1975, 1978 and 1982. The fourth constitution, which is the existing constitution, was adopted on the fifth Plenary Session on the Fifth National People's Congress on December 4th 1982. This constitution has followed and developed the basic principles set in the 1954 constitution. It narrates the experience of the development of Chinese socialism and summarizes the international history for socialist development. This is a basic law: to serve and modernize Chinese socialism. It clearly stipulates the political system, economic system, the rights and obligations of citizens, setting up of state departments and their duties, and the basic tasks for future national development. The fundamental features for this constitution include: setting the fundamental system and tasks, establishing the Four Basic Principles, and laying the basic rationales for reform. The constitution also stipulates that all activities undertaken by its citizens and organizations shall be subject to the constitution. Any organization or individual can not surpass the constitution and law.


 
Makoye 2009.

Constitution only acts as a guidance to those running the country and socialism is the idea of trying to redistribute the wealth of the national equal, don't mix between the two. You only got to look at the inequality gap that is inside China for you to conclude; that is all what is wrong with their economical policies if their a socialist state. How's that a socialist government if it allows inequality and embraces capitalism.

China has changed completely on its economic policies but has not changed on its constitution to reflect the democratic values of a modern society, therefore we should not be perplexed with the fascism governmet runned by a few elites with socialism. Just because most authoritarian regimes are associated with socialism, it does not mean the Chinese are still dwelling on socialism their economic approach is obvious in favour of Adam Smith's thinking.

Yes there is still plenty of the government runned economic programmes and the government invest heavily outside its borders, instead of the chinese private sector. But inside China, the government only employs at around 30% of the work force and rest are in the private sector. That is more than mid forty percent figures of most western nations, actually in the UK by the time the Conservative got into the gov it was 54%, meaning these are the people working on government programmes. Who's more of a socialist between the two.

Now compare the west and chinese on who's expenditure produces a larger bill on policies that improve the quality of life, offer social mobility and helping the society in general. Look at the expenditure in medical care, Education, public goods, welfare, support for their poor in society. And all other things that are suppose to reduce the inequality gap, then tell me if you still think the chinese embrace socialism or just a fascism government, full of propaganda.
 
Mkuu mheshimiwa rais wetu is biting around the bush matatizo ya nchi yetu kila mtanzania anayajua
na ufumbuzi wake unajulikana lakini kwa tamaa ya watawala wanapiga chenga kwa manufaa yao binafsi.
 
Mkuu mheshimiwa rais wetu is biting around the bush matatizo ya nchi yetu kila mtanzania anayajua
na ufumbuzi wake unajulikana lakini kwa tamaa ya watawala wanapiga chenga kwa manufaa yao binafsi.

Matatizo yetu yanajulikana na njia za kuyatatua zinajulikana(wala huitaji elimu ya PhD kuyajua haya).Lakini siye cha ajabu tumekalia politikii tuu,maneno mingii,tukijiona wasomi.
Ndiyo maana sometimes naona ni heri kujilipua tuu katika nchi za watu na kutokomea kuliko kufuatilia siasa za Tanzania/Afrika!
 
Kwa mara ya kwanza ukweli umesemwa. Ujamaa ni adui wa maendeleo.

Mimi nawashangaa sanasana watanzania kukumbatia siasa isyo na kichwa wala miguu. Nyerere aliulizwa kuhusu siasa zake akasema hivi, ujamaa wa Tanzania ni aina ya "African Socialism". Mimi nataka kuwauliza, tangu lini mlisikia kuna siasa inaitwa African Socialism. Huu wazimu aina gani jamani?

Mnatudhalilisha na siasa zisizo miguu wala kichwa. Ajabu ya Nyerere utashangaa. Na sisi wazanzibari tuliwakataa na siasa hizi. Na ndio maana hatujaukubali muungano mpaka leo mambo yamekuwa moto moto. Siasa za ujamaa wa Nyerere ndio umeirudisha nyuma Tanzania kiasi yakuwa inatajika duniani kwa umasikini. Balaa tupu.

UJAMAA WA NYERERE NI ADUI WA MAENDELEO YA TAIFA.

Hio siasa unaoita wazimu ndio hizo hizo zinatumika nchi za Scndinavia....Nyerere alikosa watendaji tu la sivyo nchi hii ingekuwa mbali sana


Kama angepata Sokoine watano tu leo tusingesema Ujamaa ni ujinga
 
Vyama vya ushirika na makampuni mengi yalikufa wewe unafikiri yalikufa kwa sababu gani?

Kwa sababu ya ubinafsi na udhaifu wetu....Ubinafsi na uvivu ndio hulak yetu...kwa kifupi sisi Waafrika hatuna uzalendo
 
Makoye 2009.

Constitution only acts as a guidance to those running the country and socialism is the idea of trying to redistribute the wealth of the national equal, don't mix between the two. You only got to look at the inequality gap that is inside China for you to conclude; that is all what is wrong with their economical policies if their a socialist state. How's that a socialist government if it allows inequality and embraces capitalism.

China has changed completely on its economic policies but has not changed on its constitution to reflect the democratic values of a modern society, therefore we should not be perplexed with the fascism governmet runned by a few elites with socialism. Just because most authoritarian regimes are associated with socialism, it does not mean the Chinese are still dwelling on socialism their economic approach is obvious in favour of Adam Smith's thinking.

Yes there is still plenty of the government runned economic programmes and the government invest heavily outside its borders, instead of the chinese private sector. But inside China, the government only employs at around 30% of the work force and rest are in the private sector. That is more than mid forty percent figures of most western nations, actually in the UK by the time the Conservative got into the gov it was 54%, meaning these are the people working on government programmes. Who's more of a socialist between the two.

Now compare the west and chinese on who's expenditure produces a larger bill on policies that improve the quality of life, offer social mobility and helping the society in general. Look at the expenditure in medical care, Education, public goods, welfare, support for their poor in society. And all other things that are suppose to reduce the inequality gap, then tell me if you still think the chinese embrace socialism or just a fascism government, full of propaganda.

Hi Juma Contena,

I am back to you once again. You said well on the Chinese and their Constitution and idea of Socialism and that you can not mix the two. Right. But the question is still there that what kind of Political system/style being practizing by the Chinese? Is it Socialism or Capitalism?

Let's go back to history and see what kind of China the founder,Mao Tse-Tung planned to make in 1949. Since the founding of the PRC, they have done a lot of work, made much headway, and achieved marked results in building the people's democratic system. However, as a comprehensive system, their country's people's democratic system has yet to be further developed and perfected.


In his speech addressed to a Beijing rally in celebration of the fortieth anniversary of the founding the PRC, comrade Jiang Zemin, current President of PRC pointed out that it was necessary to make continued efforts to improve and perfect their country's people's congress system and CPC‑led Multiparty Cooperation and Political Consultation System, establish and perfect a democratic decision‑making and supervision procedure and system, expand the existing links and channels of dialogue between the CPC and the broad masses of the people, raise the citizens' consciousness in participation in the political and state affairs, and guarantee the full realization of both the will and the interests of the broad masses of the people in the state life and social life. Comrade Zemin continued in his speech, I am quoting him,''This is the orientation for building socialist democracy in our country at the current stage. In this analysis, those who blindly worship the democratic system of the Western countries and try to transplant the parliamentary system and multiparty system of the Western countries to China are doomed to failure.'' end of quoting.

Now by this speech Zemin is telling the Chinese in black and white what kind of a political system they are following.Building a SOCIALIST DEMOCRACY to their country.It is neither a CAPITALISM nor a FASCISM government as you put it.

We have the USA,the JAPANESE,the BRITISH,the FRENCH,etc who are following the Capitalism political system but they are now lagging behind the Chinese!Why is China now trailing ahead of them all? China must be on the different track as put by Zemin in his speech about 10 years ago that China is doing SOCIALIST DEMOCRACY!

Calling the Chinese that they are CAPITALIST and FASCIST you got them wrong!
Let me finish by concurring by Zemin's speech that you Juma Contena, you are one of those who blindly worship the democratic system of the Western countries and try to transplant the parliamentary system and multiparty system of the Western countries to China are doomed to failure!!!

Thanx.
 
Kama hayo maneno ni kweli, basi hata mimi naunga mkono kauli hiyo. Siasa ya Ujamaa ni Zimwi linalo wasumbua viongozi wengi walioko madarakati.

Kiasi viongozi wengi wamekuwa waoga kiasi cha kukimbia vivuli vyao.

China bado ni wa-communist na wanaongoza kwa kasi ya kukua kwa uchumi duniani. Hivyo ujamaa uliofutwa miaka 18 iliyopita hauwezi kuwa sababu ya nchi kushindwa kuendelea leo hii. Tatizo kubwa la nchi yetu ni uongozi mbovu unaolelewa na chama magamba kikiongozwa na huyo mlalamishi anayesingizia ujamaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sina uhakika kama kasema hayo kwa kuwa source hakuleta conclusive events kuhalalisha mada yake,anyway kasema hakusea]ma SI SAHIHI kwa Mwanachama au kiongozi yoyote wa CCM kusema tatizo ni UJAMAA. Please kama haya maneno yametoka mdomo mwa mwanaccm No ni HATARI tena kupita HATARI.

ITIKADI YA CHAMA CHA MAPINDUZI ni "UJAMAA NA KUJITEGEMEA"mimi binafsi kama DOT COM GENERATION sina tatizo na ITIKADI hii au mrengo ambao mwasisi wa Taifa na BABA WA TAIFA aliuanzisha kwa kuzingatia HISTORIA YA YETU WAAFRICA na UTAMADUNI WETU wa kuishi pamoja kama JAMII.

Yeye Mwalimu kama kinara wa ITIKADI hiyo alitumia elimu yake Kuunda mfumo wa kuishi wa aina yake [Unique] na aliona waafrika hapo kale waliishi kama jamii moja na mpaka sasa tuna maisha ya kijamaa kuanzia hadhi ya familia [Extended Family] mpaka hadhi kitaifa [Makabila].Leo hii Mhaya anaoa Mkurya, Mpare anao ******, Mchaga anaoa Mgogo, Mngoni anaolewa na Mmasai,kutoka hapo tunataifa la WATANZANIA ambao lugha ya mama ni KISWAHILI.

DOT COM GENERATION
[Ni kizazi cha Mchanganyiko wa makabila],ndio ujamaa wenyewe, ndio mazao ya mfumo huo ambao mwalimu aliusimamia kwa kuzingatia historia.Kwa kuona hilo pia Mwalimu akaongeza KUJITEGEMEA.Kujitegemea huku Mwalimu alitizama Mtanzania ataishi ndani ya jamii yake kama mwanajamaa lakini ataendesha maisha yake kwa kujitegemea huku akipata ushirikiano wa wana jamii yake.

Sikuzaliwa wakati Mwalimu anaanzisha mwelekeo wa Taifa hili, lakini nilimwelewa kupitia elimu ya Historia na sauti ya kulekodiwa [Recorded Speech] ambazo zimejaa ukweli wa maisha kwa kuzingatia ukweli sahihi wa UTU NA HESHIMA YA MWANADAMU.

Nina imani Mwalimu JK Nyerere si kuwa akuwa mdadisi wa mfumo wa KIBEPARI [CAPITALIST] kwa maana ya kuutumikia lakini katika namna inayozingatia mazingira ya kiafrika na sio kwa kukopi kama ulivyo toka ulaya na kuutumikisha kwenye mazingira ya Kiafrika yenye utamaduni na Jadi tofauti na Ulaya.Nafikiri mpaka kifo alichokua anatafuta ni jinsi gani awaelimishe watanzania waweze kuishi katika mfumo wa kujitegemea [Find your own bread unatofauti gani na Ubepari hapa katika njia ya Kiafrika].

Mwalimu JK Nyerere alizingati historia na utamaduni wa Kiafrika, Leo hii viongozi wengi wa Chama na Serikali wanaishi na Mama ama Baba zao majumbani mwao wakiwalea yote hiyo ni kwa sababu ndio jamii ya Kitanzania inavyotakiwa kuishi [Extended Family].[Kwa kukopi Ubepari wanaoukumbatia siwangewapeleka wazazi wao nyumba za kulea wakongwe kama mfumo wa Kibepari unavyojiendesha]

Hatuitaji kukopi na kutumikisha mfumo wa kibepari [Copy and Paste] tunaitaji kubuni aina ya mfumo huo lakini unaozingatia HAKI na USAWA na mazingira yetu halisi kama Watanzania na Waafika,kama ni mechi ya mpira tunasema Fair Play Game. Kwa kuwa CCM ndio UJAMAA ndio ITIKADI YAKE basi inaangalia HAKI NA UTU WA MWANADAMU vivyo hivyo Serikali inayoundwa na chama hicho,na kuakikisha mlengo huo haupotezi maana bali unazingaia NYAKATI NA ZAMA.Hata leo hii ndoa ya mtoto wa Kifalme Prince Williams ni ya kifalme sawa kihadhi kabisa na ya Baba yake ama Babu yake lakini katika taswira na vionjo vya kisasa kwa kuangalia nyakati na zama za kizazi chake. [Theme ya kizazi chake].Kama leo hii Morning BBC wanaendelea na Kudocument Royal wedding waingereza na jeuri yao ya kujali chao wamechanganya vionjo vya muziki kwa kudocument vionjo vya wimbo " I WANNA BE A MILLIONARE SO F................BAD NEXT QUEENE and OPRAL",NA Kionjo cha "ITS NOT ABOUT THE MONEY.

CCM KIMEKOSEKANA NINI KWA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAKE? Kuendeleza ITIKADI YAKE YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA KWA KUZINGATIA NYAKATI NA ZAMA MPYA.


Napata shida kuona wafuasi wa Mwalimu alioafundisha awafuati maelekezo yake na wameitupa ITIKADI ya CHAMA CHA MAPINDUZI. Leo hii Dot Com Generation, wanavyomwelewa na kukubali maelekezo yake, wazee hawa [TYPEWRITER GENERATION] wanajisikiaje kuona watoto na wajukuu zao wakiimba ''Kama sio juhudi zako Nyerere na nanii....................angesoma wapi?. Kumbe Dotcom Generation wanajua ni bidii binafsi za mawazo ya Mwalimu kujenga Taifa lenye jukumu la kujenga UJAMAA kwa kutambua JAMII inajukumu la Kulea,Kusomesha, Kujali na kutambua jamii yatakiwa kuishi kwa kujaliana na kuheshimu binadamu mwingine hata kama kuna tofauti ya vipato.

Leo hii omba omba mitaani,serikali ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA kumilki ombaomba mpaka wa umri wa miaka minne [4] ni HATARI ZAIDI YA HATARI. Kwani kwa ITIKADI YA UJAMAA ,omba omba ni jukumu la Serikali [Basi tungekopi kwa mabepari tungesema state property] vyote hivyo hatupo.

Mwalimu ansasema unapokua unataka Uraisi ni kutaka Matatizo sio Neema,"Ikulu kuna nini?Ikulu ni Mzigo wa Matatizo,Unapita Mabarabarani huko Wananchi wako wanashida, shida za wananchi hao ni mzigo wako wewe".

Kwa mantiki hiyo kama KWELI Viongozi wa CCM ndani ya mioyo yao dhamila yao si kuendeleza TAIFA LA UJAMAA lenye mfumo wenye kuzingatia mazingira halisi ya Mtanzania wa leo na nyakati alizopita na zinazokuja, basi KWELI NITAANZA KUAMINI JAPO, NILIKUA SIAMINI KIFO CHA CCM [RISE AND FALL PRINCIPLE ILISHAANZA KUFANYA KAZI ZAMANI NA INAKARIBIA MWISHO NAFIKIRI]
 
tutamuongelea Nyerere RIP na miaka 40 iliyopita, wakati tatizo liko mbele ya macho yetu, ni kweli tunatakiwa tuangalie nyuma ili tusirudie baadhi ya makosa, rejea hotuba ya Nyerere alisema tatizo lenu mnaacha mazuri na kucukua mabaya, huyu wa sasa hivi na hizi porojo zake ni kwamba ameshindwa kazi ya uongozi, sasa anatafuta mti wa kushikilia hauoni, matokeo yake atakuja kusema udini/ukabila nk ndio unadumaza kukua kwa uchumi wetu hata ujamaa wakati hiyo ndio sera kuu ya chama kimaandishi na ndio iliyo mpatia uraisi, amekuwa kama mtu aliye nunua gari wakati kuendesha hajui, ndio anaanza gari za siku hizi sijui caburator ipo wapi, or start za siku hizi sio za kuzungusha kama za zamani, oh haya matairi ya siku hizi tube less ni mabaya oh sterling power sio nzuri nk nk hadithi haziishi. kuna vitu vingine ambavyo ni vya msingi havi hitaji kuwa na ujamaa au ubepari kutekeleza lakini inachukua miaka 5 ndani ya ofisi yake au ndani ya akili yake kuongelewa au kutolewa uamuzi, halafu anataka kuwa singizia watendaji wazee/vijana/ujamaa, hao washuri wa ofisi yake wana fanya nini wa mambo ya uchumi, umeme nk , hapa juzi juzi aliunda kamati ya bomani kupoza mikataba ya madini, nini yeye mwenyewe amefanya kutekeleza hayo mapendekezo? suala la umeme toka yupo waziri na iptla yake mpaka sasa tatizo lipo, bado utasingizia ujamaa/wazee/vijana na yeye kama kiongozi yupo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom