Kikuu vs AliExpress

Hata Aliexpress unalipa kwa M-pesa Master card na Airtelmoney Master card hakuna shida.
Mimi nakushauri Kikuu,kwanza kikuu hawana mambo mengi muhimu no yako ya simu ,email adress yako na eneo unaloishi.wao watakuletea bidhaa yako uloagiza mpaka nyumbani kwako tofauti na hao wengine eti mpaka uende posta au sijui wapi!tena uzuri wa kikuu unalipa kwa mitandao tu kama tigo pesa na mitandao mingine,ila shida yao mzigo unachelewa uwe mvumilivu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata dakika moja haishi wanakata pesa. Ukiona inachelewa Ni aidha pesa haitoshi au network inasumbua na order yako itakuwa ipo kwenye unpaid order list ukiangalia account yako.
Kwa kesi yako inaonekana pesa yako ilikuwa kidogo kulipia bidhaa uliyoitaka na ndio maana haikukatwa.

Mimi huwa najaza 255 Kama zip code.
Hivi uki confirm oda ukaweka na no za masta card inachukua muda gani kukata hela yao...maana kuna siku nilijarbu lipa nikakaa nusu saa bado pesa naiona nikaamua itoa huko......na pale zip code tunajaza nn

Sent using LEAGOO M12
 
Tena naona Airtel MasterCard wapo vizuri zaidi kuliko m pesa MasterCard. Airtel hawana mlolongo Kama voda.
Sijui wewe unaonaje mkuu.

Sent using LEAGOO M12
Da hii simu leago kaka ake na leago s8 nilimaind sana hii simu wamezitoa sasa azipo Ali express
 
Hata dakika moja haishi wanakata pesa. Ukiona inachelewa Ni aidha pesa haitoshi au network inasumbua na order yako itakuwa ipo kwenye unpaid order list ukiangalia account yako.
Kwa kesi yako inaonekana pesa yako ilikuwa kidogo kulipia bidhaa uliyoitaka na ndio maana haikukatwa.

Mimi huwa najaza 255 Kama zip code.

Sent using LEAGOO M12

Na mzgo unafika tu fresh...mbna kuna watu walinambia ni post code ya mkoa ulioko kila mkoa una wake sasa hapo ndo wananichanganya
 
Samahani mkuu naomba unijuze iyo zip code ndo nini?

Ndio unaweza cha msingi ujaze detail zako zote na utaweka option ya kutumiwa posta au kwa sandk lako laposta na utaweka zip code, namba ya simu, kitambulisho cha NIDA na vingne vyote ....
Muhimu Zip code, namba ya simu na eneo unalokaa ..ukiwa mkoani kama vile shinyanga, singida na kwngne hutafaidi izi application coz inachukua mda mrefu kukufikia bidhaa ako na utalipia additional charges
 
Mzigo unafika fresh tu. Hii 255 Ni code ya Tanzania(Tanzania country calling code).
Sanduku lako la posta na Namba yako ya simu Ni muhimu kwa mzigo kukufikia mahali ulipo.
Kwa hiyo mzigo unafika fresh tu.
Mimi nimeshafanya order zaidi ya tano kwa utaratibu huo na zote nimezipokea zikiwemo simu,memory cards,earphones hand bags,etc.
Ni kweli kwamba Tanzania hatuna mifumo ya zip codes. Ila kupitia hii 255 inajulikana kwamba mzigo unaelekea Tanzania.
Na mzgo unafika tu fresh...mbna kuna watu walinambia ni post code ya mkoa ulioko kila mkoa una wake sasa hapo ndo wananichanganya

Sent using LEAGOO M12
 
Mzigo unafika fresh tu. Hii 255 Ni code ya Tanzania(Tanzania country calling code).
Sanduku lako la posta na Namba yako ya simu Ni muhimu kwa mzigo kukufikia mahali ulipo.
Kwa hiyo mzigo unafika fresh tu.
Mimi nimeshafanya order zaidi ya tano kwa utaratibu huo na zote nimezipokea zikiwemo simu,memory cards,earphones hand bags,etc.
Ni kweli kwamba Tanzania hatuna mifumo ya zip codes. Ila kupitia hii 255 inajulikana kwamba mzigo unaelekea Tanzania.


Sent using LEAGOO M12

Sawa ngoja nitakutafuta nikiwa nataka fanya malipo
 
Ahsante kwa ufafanuzi sijawahi kununua bidhaa mitandaoni juzi nikajaribu kuingia ALIBABA kununua bidhaa cha kushangaza bei ya bidhaa ni USD 11 shipping cost ni USD 117 mpaka Sasa hivi sijaelewa inakuwaje shipping ni gharama kiasi hicho
Memwenyewe hii kitu siielewagi ndomana huwa natumia KIKUU japo sometimes quality huwa tatzo
 
Hapa nimepokea memory zangu za GB 16 zote mbili na flash Toshiba 2 gb 32 na smart watch na simu dogee x50 saaafi Ali express is the best na huo juu ni ujumbe Wa Posta kukutaarifu ukachukue mzigo wako. Mzigo inafika fresh japo sometimes inachelewa.
Chini kabisa lens ya camera ipo njian na jins unavyofatilia mzigo wako.
Embu nisaidie nataka kuagiza simu lakini kila nikijaza option ya malipo naambiwa card yangu haisupport this currency. Mimi ninatumia airtel money master card. Sijui wapi nakosea.
Pili endapo nitafanikiwa kulipa je kuna garama nyingine- zaidi ya hapo. Mf kulipia kodi etc
 
Hahahhaaaa...umenimbumbusha kuna mshkaji alioda matairi ya alteza yake akaletewa vitairi vya matoi ya watoto....
Mara nyingi huwa ni makosa ya kuchagua ya mnunuzi. Hujasoma maelekezo vizuri, au preference. Inabidi kuwa makini katika kuagiza.

Kuna jamaa yangu kwa mfano aliagiza cover ya ipad, yeye akawa anajua ni ipad. Alivyoletewa cover akaanza kulalamika. Ila ukweli ni kwamba yeye ndo alikosea.
 
Samahani Wana JF, nimekuwa na uzoefu kidogo na kuagiza bidhaa China kupitia Kikuu App.

Wana kasoro kadha wa kadha, mfano kuchelewa kufikisha kwa baadhi ya bidhaa, ufinyu huduma kwa wateja kulingana na wingi wa wateja wenyewe, pia ubora wa bidhaa baadhi huwa sio bora.

Nimejaribu kuuliza kwa baadhi ya watu wengi wao wananishauri nitumie AliExpress japo sijawahi kuwatumia, wana unafuu.

Sasa mchango wenu kati ya Kikuu na AliExpress yupi bora.

Nakaribisha maoni si kejeri wana JF.
kikuu.png

one month na sikuu kaza toka mzigo ununuliwe yaan kwenye estimation ya kudeliver wana error ya siku 15
 
Back
Top Bottom