Kikundi cha ngoma za kiutamaduni

Kikundi cha ngoma za kiutamaduni

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
Wakuu natafuta kikund mwenye details ama contact anitafute ni hapa haa dar..ni tenda ya mwaka mzima kila wiki ku perfome. kikundi kiwe cha ukweli kimekamilika


nitwangie:
0714 925 525
 
Watakuwa wana perform wapi?
Maana isije kuwa Bar,wengine ni issue

Kwenye restaurant ya vyakula vya kiasili ipo dar watakuwa wanaperfom kila wiki siku moja. Ina wageni wengi wa kutoka nje na hapo hapo watakuwa wanapata tenda nyingi za kwenda kuperfom
 
Duh,dili tamu kweli
Huku Zanzibar vipo vikundi kibao havina issue,ila wewe umetaka Dar ndio tatizo.Najua mambo ya Nauli inakuwa Tabu kwa ghamara za ziada.

Halafu hembu niambie kuweka Poster au matangazo au Vipeperushi kwenye Restaurant yenu hapo,mta charge kiasi gani.
Maana biashara matangazo,nimeona nichomekee hiyo kwakuwa naona mpo kwenye position nzuri ya plan zangu
 
Duh,dili tamu kweli
Huku Zanzibar vipo vikundi kibao havina issue,ila wewe umetaka Dar ndio tatizo.Najua mambo ya Nauli inakuwa Tabu kwa ghamara za ziada.

Halafu hembu niambie kuweka Poster au matangazo au Vipeperushi kwenye Restaurant yenu hapo,mta charge kiasi gani.
Maana biashara matangazo,nimeona nichomekee hiyo kwakuwa naona mpo kwenye position nzuri ya plan zangu
ngoja nakujibu kaka
 
Back
Top Bottom