Okey guys nimejitahid Kuchanganua gharama za hiki kilimo na haya ndo majibu nlokuja nayo..
1- kukodi shamba ni 250,000/= kwa mwaka!(shamba lililo karibu na chanzo cha maji kisichokauka kwa mwaka mzima)
2- kuandaa shamba
*kulima kwa tractor 50,000/=
*kupiga halo 50,000/=
*kuinulia matuta (matuta 35*tsh 4000 each) =14000
3-kuandaa kitalu 100,00/=
4- Mbegu kwa ekali moja
*tikitimaji pact 3@55,000=165,000/=
*nyanya pact 2@180,000=360,000/=
*vitunguu kg1.5 =468,000/=
*viaz mbatata gunia 5@50,000= 500,000/=
*cabbage pacts 2@68,000= 136,000/=
*nanasi miche 18000 = 2700,000/=
*pilipili mbuzi miche 5200 = 25,000/=
*matango =17,000/=
5- Mbolea (gharama ni makadilio). = 500,000/=
6- Madawa (gharama ni makadilio) = 250,000/=
7- mafuta( umwagiliaji) Lita 2 kwa siku 90= 450,000/=
8-miti na kamba (kwa nyanya na hoho)= 250,000/=
9- vibarua wawil ( 60,000*2=120,000) kwa miez 4=480,000/=
10- kununua water pump (ya 3'). = 280,000/= hadi 300,000/=
Kama kuna nlichokisahau then ntakijibu kupitia maswali yenu!thanks....