Kikundi cha kilimo

Kikundi cha kilimo

Dah tena ingekuwa poa Sana ungekuwa ni mmoja Wa wanachama..tungekuwa na uhakika Wa technical assistance bureeee kabisa!too bad...

Mkishakua teyari nitawaconnect na mtaalam atakaekua karibu nanyi maana wapo waliomaliza hapa ambao wengine wameajiliwa huko Morogoro so endeleeni kujipanga sawa ndugu zanguni
 
Mkishakua teyari nitawaconnect na mtaalam atakaekua karibu nanyi maana wapo waliomaliza hapa ambao wengine wameajiliwa huko Morogoro so endeleeni kujipanga sawa ndugu zanguni

Poa poa haina noma!kuna wataalamu pia nawafahamu nafanya nao kazi so am sure this is going to work!watu tu wenye nia wapatikane!
 
Nashukuru kuona watu wenye nia kama Yangu. Hongera Dada nitaluv mie nina nia hiyo na tayari nishanunua eneo la ekari 100 mzenga-kisarawe. 90km kutoka Ubungo kupitia mlandizi . Kwa mwaka huu nakusanya nguvu nianze ufugaji wa nyuki na mwaka kesho ntaanza hortculrure. Nadhani tutazidi kuwasiriana kwa ajili ya kupeana uzoefu
 
Okey guys nimejitahid Kuchanganua gharama za hiki kilimo na haya ndo majibu nlokuja nayo..
1- kukodi shamba ni 250,000/= kwa mwaka!(shamba lililo karibu na chanzo cha maji kisichokauka kwa mwaka mzima)
2- kuandaa shamba
*kulima kwa tractor 50,000/=
*kupiga halo 50,000/=
*kuinulia matuta (matuta 35*tsh 4000 each) =14000

3-kuandaa kitalu 100,00/=
4- Mbegu kwa ekali moja
*tikitimaji pact 3@55,000=165,000/=
*nyanya pact 2@180,000=360,000/=
*vitunguu kg1.5 =468,000/=
*viaz mbatata gunia 5@50,000= 500,000/=
*cabbage pacts 2@68,000= 136,000/=
*nanasi miche 18000 = 2700,000/=
*pilipili mbuzi miche 5200 = 25,000/=
*matango =17,000/=

5- Mbolea (gharama ni makadilio). = 500,000/=
6- Madawa (gharama ni makadilio) = 250,000/=
7- mafuta( umwagiliaji) Lita 2 kwa siku 90= 450,000/=
8-miti na kamba (kwa nyanya na hoho)= 250,000/=
9- vibarua wawil ( 60,000*2=120,000) kwa miez 4=480,000/=
10- kununua water pump (ya 3'). = 280,000/= hadi 300,000/=
Kama kuna nlichokisahau then ntakijibu kupitia maswali yenu!thanks....

Nimependa wazo hilo la kilimo maana mimi mwenyewe nilifanya kilimo hicho mwaka jana japo majanga ya mvua yalinipiga vibaya. Mchakato wako nimeuona nadhani unahitaji kuboreshwa kidogo uweze kuakisi gharama na mapato. Ningependa pia endapo lengo lingekuwa katika kupata ardhi kwa kazi hiyo, maana kukodi kuna limitations nyingi kwa mpango endelevu kama huu. Niko interested na kama hutajali umbali niPM
 
Okey guys nimejitahid Kuchanganua gharama za hiki kilimo na haya ndo majibu nlokuja nayo..

1- kukodi shamba ni 250,000/= kwa mwaka!(shamba lililo karibu na chanzo cha maji kisichokauka kwa mwaka mzima)

2- kuandaa shamba
*kulima kwa tractor 50,000/=
*kupiga halo 50,000/=
*kuinulia matuta (matuta 35*tsh 4000 each) =14000

3-kuandaa kitalu 100,00/=

4- Mbegu kwa ekali moja
*tikitimaji pact 3@55,000=165,000/=
*nyanya pact 2@180,000=360,000/=
*vitunguu kg1.5 =468,000/=
*viaz mbatata gunia 5@50,000= 500,000/=
*cabbage pacts 2@68,000= 136,000/=
*nanasi miche 18000 = 2700,000/=
*pilipili mbuzi miche 5200 = 25,000/=
*matango =17,000/=

5- Mbolea (gharama ni makadilio). = 500,000/=

6- Madawa (gharama ni makadilio) = 250,000/=

7- mafuta( umwagiliaji) Lita 2 kwa siku 90= 450,000/=

8-miti na kamba (kwa nyanya na hoho)= 250,000/=

9- vibarua wawil ( 60,000*2=120,000) kwa miez 4=480,000/=

10- kununua water pump (ya 3'). = 280,000/= hadi 300,000/=

Kama kuna nlichokisahau then ntakijibu kupitia maswali yenu!thanks....

Napenda kufahamu hizo gharama hapo juu ni kwa kila ekari moja ya shamba au kwa ni kwa ukubwa gani?tks
 
Nashukuru kuona watu wenye nia kama Yangu. Hongera Dada nitaluv mie nina nia hiyo na tayari nishanunua eneo la ekari 100 mzenga-kisarawe. 90km kutoka Ubungo kupitia mlandizi . Kwa mwaka huu nakusanya nguvu nianze ufugaji wa nyuki na mwaka kesho ntaanza hortculrure. Nadhani tutazidi kuwasiriana kwa ajili ya kupeana uzoefu

Daaah hongera Sana shuli...nikifikia kununua eneo kubwa hivyo basi tena!ntakuwa nimeanza kuishi ndoto zangu!with that big land u can do so much...nitafurahi Sana siku nikiweza kutoa ajira kwa vijana wenzangu,hasa wale wenye elimu ya kawaida...hatuhitaji masters kujua jembe lashikwaje!tutazidi kuwasiliana ndugu!
 
Nimependa wazo hilo la kilimo maana mimi mwenyewe nilifanya kilimo hicho mwaka jana japo majanga ya mvua yalinipiga vibaya. Mchakato wako nimeuona nadhani unahitaji kuboreshwa kidogo uweze kuakisi gharama na mapato. Ningependa pia endapo lengo lingekuwa katika kupata ardhi kwa kazi hiyo, maana kukodi kuna limitations nyingi kwa mpango endelevu kama huu. Niko interested na kama hutajali umbali niPM

Ninao mchakato Wa kitaalamu TGI...unaoelezea gharama na makisio ya mapato!ila hapa nimejitahid kuweka katika njia rahis then tutakapopatikana members then tunaweza kushare zaidi!!
 
Nimekusoma vzr.Hiyo gharama ya miche ya nanasi ipo sawa?naona kama typing error!
Mananasi mimi sijawah kulima....ila nimeuliza kwa wataalamu na nikaambiwa eka 1 inaingia hadi miche elfu 18 na mche mmoja ni sh 150-200!so kwa gharama hizo hiyo figure iko sahihi!
 
Ninao mchakato Wa kitaalamu TGI...unaoelezea gharama na makisio ya mapato!ila hapa nimejitahid kuweka katika njia rahis then tutakapopatikana members then tunaweza kushare zaidi!!

Basi hiyo itakuwa iko vizuri, kimsingi mimi niko dar, lakini moro ni kama kibaha vile. Pia sitarajii sisi tutakaa shamba huko. Hivyo ni jambo la kuwa na nguvu ya pamoja na kuona jinsi ya kuchomoza. Let me know tukikamilika
 
Dada nimependa wazo lako napenda tuwe pamoja lkn sina mtaji naweza kuishi shamba muda wote wa kilimo, kwasasa nipo dar ila nataka kulima dumila morogoro ila mtaji unanitoa jasho
 
Dah...how I wish ungekuwa uko Moro!anyways..tutakutumia hata kwa maon na ushauri!Kama nlivyosema hapo juu lengo ni kuja kuwa na kampun inayozalisha, kuuza na kununua mazao...

ila pia ufugaji uko humo ndani yake!napenda pia ufugaji hasa wa kuku Wa kienyeji na ng'ombe Wa maziwa!nitakutumia kwenye ufugaji kaka...na Jana nimepata info nzuri Sana toka kwa "gaz/eti" through thread yake ya ufugaji Wa kuku Wa kienyeji!thanks
shamba lipo wapi na ukubwa gani? maji yapo? count me IN!
 
Dada nimependa wazo lako napenda tuwe pamoja lkn sina mtaji naweza kuishi shamba muda wote wa kilimo, kwasasa nipo dar ila nataka kulima dumila morogoro ila mtaji unanitoa jasho

Kaka sungura mjanja lengo la kutaka kuungana ni kutaka kuunganisha nguvu pia...mitaji ni tatizo kwa vijana wengi,lakin tukiamua kuungana tutaweza!zipo pia fursa za mikopo na ufadhili kwa vijana hasa kwa haya maswala ya kilimo,lakin kuzipata fedha hizo ni lazima tuonyeshe nia ya kweli na tuwe na kikundi imara!kesho nitakuja na hitimisho la mada hii kwa kuwataja wala ambao wameonyesha nia ya hichi kitu then tutajadiliana kwa pamoja tuanzie wapi!so usiwory kuhusu mtaji kaka...penye nia pana njia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom