Kikosi cha Tanzania kitakachoumana na Kenya kufuzu CHAN

MBWAMBO NICHOLAUS JR

JF-Expert Member
Oct 27, 2018
424
427
Nini maoni yako
IMG-20190715-WA0010.jpg
 
Nimefurahi kumwona Kelvin John

Japo nasikitika sijawaona

1. Onesmo mayaya
2. Dickson Job


Ni wakati sasa wa kuwaamini vijana.
 
Hakuna mchezaji wa Mtibwa???:TFF tutawatoa kwa nguvu manina

1. Aish Manula (Simba)

2. Juma Kaseja (KMC)

3. Metacha Mnata (Yanga)

4. Paul Godfrey (Yanga)

5. Boniface Maganga (KMC)

6. Gadiel Michael (Simba)

7. Paul Ngalema (Namungo FC)

8. David Mwantika (Azam FC)

9. Idd Mobi (Polisi Tanzania)

10. Kelvin Yondan (Yanga)

11. Erasto Nyoni (Simba)

12. Jonas Mkude (Simba)

13.Abdulazi Makame (Yanga)

14. Mudhathir Yahya (Azam)

15. Ibrahim Ajib (Simba)

16. Salim Aiyee (KMC)

17. Saloum Abobakar (Azam FC)

18. Masoud Abdallah (Azam FC)

19. John Bocco (Simba)

20. Ayoub Lyanga (Coastal Union)

21. Kelvin John (U 17)

22. Fei Toto (Yanga)

23. Frank Domayo (Azam FC)

24. Hassan Dilunga (Simba)

25. Iddy Naldo (Azam FC)

26. Shaban Idd Chilunda (Azam FC)
 
1154492
chan.jpg


Kaimu Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Etiene Ndairagije ametaja kikosi cha Wachezaji 26 kitakachojiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya. Taifa Stars itaingia Kambini Julai 21,2019 Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom