Kikosi Cha mizinga oyee

Kikosi Cha mizinga oyee

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,965
Habari za asubuhi wananchi

Leo nimeanza kukumbana na kile kikosi cha mizinga ya CHRISTMASS. yaani mahusiano yaliyofifiaga yanaanza kunawiri , vile vimesegi vya beby NIKWAMBIE KITU?, zile namba ngeni ngeni Mara MAMBO??

wengine wanakuja wazi wazi kuanza kuomba magauni ya sikukuu.

Sijui kwa wadau wenzangu. Je? Umeshaanza kukutana na kikosi shupavu cha mizinga ?

Na wewe mdada umejiandaaje katika suala Hilo?

Tuoneane huruma jama
 
Ni jukumu letu kuwahudumia dada zetu, kwa sababu wanatustarehesha na kutuongezea Siku za kuishi, ukishindwa kuwahudumia wapiga mizinga hata mkeo hutaweza kumhudumia, acha kulalamika.
 
Mke na mpiga mzinga ni watu wawili tofauti. Japo wote wa K
Ni jukumu letu kuwahudumia dada zetu, kwa sababu wanatustarehesha na kutuongezea Siku za kuishi, ukishindwa kuwahudumia wapiga mizinga hata mkeo hutaweza kumhudumia, acha kulalamika.
 
Ni jukumu letu kuwahudumia dada zetu, kwa sababu wanatustarehesha na kutuongezea Siku za kuishi, ukishindwa kuwahudumia wapiga mizinga hata mkeo hutaweza kumhudumia, acha kulalamika.
kwani wenyewe hawapati raha na tunaopata raha ni sisi tu midume!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom