Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujui kuwa ukijiunga kifurushi unaambiwa kabisa hiki kifurushi kina dakika kadhaa, mb kadhaa na sms kadhaa? Kama vipi jiunge kifurushi cha mwezi cha sms tu kwa buku mbili nadhani sms 10000 huwezi kuzimaliza utatuma mpaka uchoke mwenyeweHabarI zenu jamani, naomba msaada kwanini nikitumia SMS kwa muda mrefu mwisho wa siku natumiwa SMS na Airtel ikisema nimefikia kikomo cha kutuma SMS.
Msaada tafadhali kwa anayejua hili tatizo
Mkuu kifurushi kinakuwa hakijaisha ila zikifika SMS kadhaaa walizopanga hauwez kutuma SMS mpaka ifike SAA sita usikuMkuu hujui kuwa ukijiunga kifurushi unaambiwa kabisa hiki kifurushi kina dakika kadhaa, mb kadhaa na sms kadhaa? Kama vipi jiunge kifurushi cha mwezi cha sms tu kwa buku mbili nadhani sms 10000 huwezi kuzimaliza utatuma mpaka uchoke mwenyewe