Kikojoleo changu almanusura kitoweke

Kikojoleo changu almanusura kitoweke

C Afadhali kikojileo kitoweke kuliko kifanyio au kifanywa...! Ze utamu utasikia tukwa wendhio
 
Ndoto zingine sio za kuota kabisa yaani chozi limenidondoka ndani ya ndoto baada kuona kikojoleo hakipo.

Imebidi nipige maombi kwenye ulimwengu wa roho nimemuona zubedayo_mchuzi akiwa ameshika usinga mweusi huku akipiga manyanga.

Hahahaaa huyo zubedayo_mchuzi mbona mwaka huu analo!? jana naskia amekoswakoswa kugongwa na treni...
 
Last edited by a moderator:
Sasa subiria akija tena kwa style ya Kipopobawa!
Hutohadithia! Utakauka nayo ndoto kimyakimya!
 
Sasa subiria akija tena kwa style ya Kipopobawa!
Hutohadithia! Utakauka nayo ndoto kimyakimya!

Ha ha ha Judgement.. Sifa mbaya ya popobawa ni kwamba usipotangaza kama amekutembelea basi atakuja tena kukutembelea.. Kwa hiyo atahadithia tu huyu labda anogewe..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom