Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,653
- 13,472
Hello doctors!
nina mwanangu wa umri wa miaka 2,amekuwa akisumbuliwa na kikohozi kwa muda mrefu sasa,ametumia antibiotics za kutosha,amekunywa dawa za kikohozi nyingi lkn tatizo liko pale pale!tatizo linakuwa more serious wakati wa usiku anakohoa na kutapika,na mchana unaweza usisikie hata akikohoa!!wakuu nini kinaweza kuwa tatizo na tiba yake ni ipi,nawakilisha!
nina mwanangu wa umri wa miaka 2,amekuwa akisumbuliwa na kikohozi kwa muda mrefu sasa,ametumia antibiotics za kutosha,amekunywa dawa za kikohozi nyingi lkn tatizo liko pale pale!tatizo linakuwa more serious wakati wa usiku anakohoa na kutapika,na mchana unaweza usisikie hata akikohoa!!wakuu nini kinaweza kuwa tatizo na tiba yake ni ipi,nawakilisha!