Hili chawa la uvccm sijui linataka nini...kumbuka,no reform no electionKiki za kwenye mitandao huwa zina muda mfupi wa uhai!
Yule jamaa yenu wa Burkina Faso naona kiki zake zimeshaishiwa gesi sasa.
Siku hizi hasikiki tena baada ya watu kama mimi kuwafumbua macho watu juu ya ulaghai wa persona yake.
Au nyie wa Burkinabe wa Tabata Sanene mnasemaje?
š¤£