Kiki ya derby ya Kariakoo ndio imebamba ila tunaua soka letu

Kiki ya derby ya Kariakoo ndio imebamba ila tunaua soka letu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Ujio wa NO REFORMS NO ELECTION na kukubalika kwakwe na Watanganyika kulizitikisa sana mamlaka za juu.. Lakini pia ishu ya TAL, Utekaji na mauaji na mengine mengi ya CHADEMA.. Sasa ili kufubaza haya yote ilibidi yatafutwe matukio yatakayokuwa gumzo kwa muda mrefu

Kwenye hali kama hizi wasanii wakubwa hutumika sana kutengeneza matukio.. Lakini this time around, mambo yalikuwa tofauti sana! Trending za matukio ya wasaniii zilipotezewa vibaya mno! Watu wakawa ni NO REFORMS NO ELECTION kila mahali

Ujio wa DERBY YA KARIAKOO umebadilisha upepo wote.. Kuna maamuzi ya wiki hii yamefanywa kwa nia maalum..lakini ovu kwa mustakabali wa soka la bongo
TFF ndio msimamizi anayetambulika kisheria .. Hakukuwa na haja ya kuwahusisha wanasiasa.. Sasa baadhi ya viongozi wamejiuzulu na wengine kusimamishwa kwa kinachosemekana ni shinikizo la wanasiasa
Kuna viongozi wa timu husika kwenye Derby ya kariakoo wameenda Dodoma 'kusuluhishwa' (mvurugano mwingine huu) maana inasemekana baadhi ya viongozi waliokwenda hawana ridhaa ya wenzao
Derby imesogezwa mbele tena kutoka tar 15 June mpaka tar 25.. Tatizo limezaa tatizo

Mvurugano uliokuwa umetengenezwa yanga sasa umehamishiwa Simba.. Mambo ya NO REFORMS NO ELECTION kidogo yamesahaulika wananchi wako busy kujadili derby ya kariakoo.. Ni vurugu mechi kila mahali
Wanasiasa wamefaulu kwa muda kwenye hili lakini litaacha makovu na hasara ya muda mrefu kwenye sika letu.. Derby itapoteza ladha na msisimko wake...

Hakukuwa na maana yoyote kuisogeza tena mbele Derby ya Kariakoo.. Ndio maana FIFA wamekataa wanasiasa wasijihusishe na soka!
 
Mbunge mstaafu mh Mangungu ambaye ndiye boss wa Simba amesema Derby ya kariakoo ni kesho 🐼
 
Labda imebamba kwako ndio maana umeitangaza hapa watu hatuna shobo na hayo matimu No reform No election
 
Ujio wa NO REFORMS NO ELECTION na kukubalika kwakwe na Watanganyika kulizitikisa sana mamlaka za juu.. Lakini pia ishu ya TAL, Utekaji na mauaji na mengine mengi ya CHADEMA.. Sasa ili kufubaza haya yote ilibidi yatafutwe matukio yatakayokuwa gumzo kwa muda mrefu

Kwenye hali kama hizi wasanii wakubwa hutumika sana kutengeneza matukio.. Lakini this time around, mambo yalikuwa tofauti sana! Trending za matukio ya wasaniii zilipotezewa vibaya mno! Watu wakawa ni NO REFORMS NO ELECTION kila mahali

Ujio wa DERBY YA KARIAKOO umebadilisha upepo wote.. Kuna maamuzi ya wiki hii yamefanywa kwa nia maalum..lakini ovu kwa mustakabali wa soka la bongo
TFF ndio msimamizi anayetambulika kisheria .. Hakukuwa na haja ya kuwahusisha wanasiasa.. Sasa baadhi ya viongozi wamejiuzulu na wengine kusimamishwa kwa kinachosemekana ni shinikizo la wanasiasa
Kuna viongozi wa timu husika kwenye Derby ya kariakoo wameenda Dodoma 'kusuluhishwa' (mvurugano mwingine huu) maana inasemekana baadhi ya viongozi waliokwenda hawana ridhaa ya wenzao
Derby imesogezwa mbele tena kutoka tar 15 June mpaka tar 25.. Tatizo limezaa tatizo

Mvurugano uliokuwa umetengenezwa yanga sasa umehamishiwa Simba.. Mambo ya NO REFORMS NO ELECTION kidogo yamesahaulika wananchi wako busy kujadili derby ya kariakoo.. Ni vurugu mechi kila mahali
Wanasiasa wamefaulu kwa muda kwenye hili lakini litaacha makovu na hasara ya muda mrefu kwenye sika letu.. Derby itapoteza ladha na msisimko wake...

Hakukuwa na maana yoyote kuisogeza tena mbele Derby ya Kariakoo.. Ndio maana FIFA wamekataa wanasiasa wasijihusishe na soka!
Hakuna mwenye nguvu ya kumkatalia Rais wa nchi hapa Tanzania

Wewe Mshana hujui timu za simba na Yanga ni za wazaramo,Wewe ni mzaramo

Hizo timu ni za wazee wa kanzu na wazee wa kahawa wa Dar

Maisha yao ndio hayo kabla ya uhuru na baada ya uhuru zimejaa wanasiasa

Yanga ni timu ya watu weusi ilianzishwa kwa lengo la kisiasa baada ya mkoloni kukataza mikusanyiko

Ili wa afrika wa Dar wapige story pamoja kukwepa sheria ya mkoloni walianzisha Yanga timu
 
Hakukuwa na maana yoyote kuisogeza tena mbele Derby ya Kariakoo.. Ndio maana FIFA wamekataa wanasiasa wasijihusishe na soka!
Mashabiki wa Simba bhana ilipoahirishwa tar 8 Machi mlijisikia fahari sana hamkujua yale maamuzi yanaweza kutupeleka huku mnakolalamikia. Ubaya ubwelo acha dawa iwaingie mtajifunza siku nyingine na viongozi wenu uchwara
 
Mnapigishwa norinda tu

25 hakuna derby…. Itakuja desma nyingine hadi Oct
Derby lazima iwepo ili ku protect image ya Mkuu wa nchi mana yeye ndio kama amekuwa negotiator kwenye hili swala,

Japo naona kama pamoja na kupata credit za kusuluhisha ili swala naona pametengenezwa mgogoro mwingine mkubwa sana Kwasbabu ushirikishwaji wa team zote kwenye hayo majadiliano ulikuwa mdogo sana sana

Simba hawana Furaha

Mama Pale alipaswa awaite wafadhili wakuu wa team GSM na Mo pamoja na ma CEO wa teams stop watu wanne hawa wangeweza kutoa ultimatum nzuri sana

Hao kina Mangungu wao wanafanya decision kwa Kuangalia Political Capital yao uko mbele
 
Ujio wa NO REFORMS NO ELECTION na kukubalika kwakwe na Watanganyika kulizitikisa sana mamlaka za juu.. Lakini pia ishu ya TAL, Utekaji na mauaji na mengine mengi ya CHADEMA.. Sasa ili kufubaza haya yote ilibidi yatafutwe matukio yatakayokuwa gumzo kwa muda mrefu

Kwenye hali kama hizi wasanii wakubwa hutumika sana kutengeneza matukio.. Lakini this time around, mambo yalikuwa tofauti sana! Trending za matukio ya wasaniii zilipotezewa vibaya mno! Watu wakawa ni NO REFORMS NO ELECTION kila mahali

Ujio wa DERBY YA KARIAKOO umebadilisha upepo wote.. Kuna maamuzi ya wiki hii yamefanywa kwa nia maalum..lakini ovu kwa mustakabali wa soka la bongo
TFF ndio msimamizi anayetambulika kisheria .. Hakukuwa na haja ya kuwahusisha wanasiasa.. Sasa baadhi ya viongozi wamejiuzulu na wengine kusimamishwa kwa kinachosemekana ni shinikizo la wanasiasa
Kuna viongozi wa timu husika kwenye Derby ya kariakoo wameenda Dodoma 'kusuluhishwa' (mvurugano mwingine huu) maana inasemekana baadhi ya viongozi waliokwenda hawana ridhaa ya wenzao
Derby imesogezwa mbele tena kutoka tar 15 June mpaka tar 25.. Tatizo limezaa tatizo

Mvurugano uliokuwa umetengenezwa yanga sasa umehamishiwa Simba.. Mambo ya NO REFORMS NO ELECTION kidogo yamesahaulika wananchi wako busy kujadili derby ya kariakoo.. Ni vurugu mechi kila mahali
Wanasiasa wamefaulu kwa muda kwenye hili lakini litaacha makovu na hasara ya muda mrefu kwenye sika letu.. Derby itapoteza ladha na msisimko wake...

Hakukuwa na maana yoyote kuisogeza tena mbele Derby ya Kariakoo.. Ndio maana FIFA wamekataa wanasiasa wasijihusishe na soka!
Binafsi naacha kushabikia soka la Tanzania
NO REFORMS NO ELECTION
 
Ujio wa NO REFORMS NO ELECTION na kukubalika kwakwe na Watanganyika kulizitikisa sana mamlaka za juu.. Lakini pia ishu ya TAL, Utekaji na mauaji na mengine mengi ya CHADEMA.. Sasa ili kufubaza haya yote ilibidi yatafutwe matukio yatakayokuwa gumzo kwa muda mrefu

Kwenye hali kama hizi wasanii wakubwa hutumika sana kutengeneza matukio.. Lakini this time around, mambo yalikuwa tofauti sana! Trending za matukio ya wasaniii zilipotezewa vibaya mno! Watu wakawa ni NO REFORMS NO ELECTION kila mahali

Ujio wa DERBY YA KARIAKOO umebadilisha upepo wote.. Kuna maamuzi ya wiki hii yamefanywa kwa nia maalum..lakini ovu kwa mustakabali wa soka la bongo
TFF ndio msimamizi anayetambulika kisheria .. Hakukuwa na haja ya kuwahusisha wanasiasa.. Sasa baadhi ya viongozi wamejiuzulu na wengine kusimamishwa kwa kinachosemekana ni shinikizo la wanasiasa
Kuna viongozi wa timu husika kwenye Derby ya kariakoo wameenda Dodoma 'kusuluhishwa' (mvurugano mwingine huu) maana inasemekana baadhi ya viongozi waliokwenda hawana ridhaa ya wenzao
Derby imesogezwa mbele tena kutoka tar 15 June mpaka tar 25.. Tatizo limezaa tatizo

Mvurugano uliokuwa umetengenezwa yanga sasa umehamishiwa Simba.. Mambo ya NO REFORMS NO ELECTION kidogo yamesahaulika wananchi wako busy kujadili derby ya kariakoo.. Ni vurugu mechi kila mahali
Wanasiasa wamefaulu kwa muda kwenye hili lakini litaacha makovu na hasara ya muda mrefu kwenye sika letu.. Derby itapoteza ladha na msisimko wake...

Hakukuwa na maana yoyote kuisogeza tena mbele Derby ya Kariakoo.. Ndio maana FIFA wamekataa wanasiasa wasijihusishe na soka!
Bodi ya Ligi ni wazembe wanashindwa kutasfsiri kanuni tulizo jiwekekea
 
Back
Top Bottom