Uncle RobNesi
Kamili GADO
Kwaniaba ya Gado,"marhabaa"...Shikamoo Gado
Kwani kagame nae ana mambo ya kufanana na hizo katuni?HUYU JAMAA KAZIDI MBONA HUWAGA HAMFANYII KAGAME UJINGA KAMA HUU? NI WAKUUPUUZWA
Eti kuna wengine wameongezea kwa kusema pamoja na udikteta lakini pia ni mdini na mwenye kupenda ukanda wa ziwa kuliko maeneo mengine ya nchiHiyo katuni ina ukweli. Dikteta asiyejijua ka ni dikteta, yeye anajihisi yupo sawa kabisa anadhani anafanya kitu watu wanataka kumbe wanamuunga mkono kwa uoga tu huku moyoni wanawish jamaa asingekuwepo. Akiamini yupo right kwenye kitu ukipinga mara moja tu unebebeswa mizigo kama sio kuishia jela, au ghafla unatekwa na watu wasiojulikana.
Kwani kagame ns msgu wanafanana?HUYU JAMAA KAZIDI MBONA HUWAGA HAMFANYII KAGAME UJINGA KAMA HUU? NI WAKUUPUUZWA
Amejitahidi sanaGado hana writers wazuri. Yaani vituko vyote anavyofanya matakatifu ameshindwa kuzitumia kwenye katuni ya mtakatifu. Pia hata sauti ya mtakatifu anaweza kupata mtu anaipatia zaidi
XYZ SHOW siyo ya wakenya?