Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
Wewe kama huamini usiwabagaze wenzako .

Sema na wewe unachokiamini hapa kibagazwe uone jinsi unakosea.
 
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
ridiculous kivip Mkuu weka fact sanjari na ukweli faafu unaojua wewe kuhusu imani yao kupotoka
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Weka kifungu ulicho nukuu
 
Kikubwa tu. Mwaka 77 kiswahili chetu kilikuwa kimekomaa vyema
Kama mpaka leo kuna watu wazima hawajui kutofautisha:-
-Kaimu na Makamu
-Umri,Rika na Makamo
-Katibu na Mkutubi
-Muhtasi na Mahsusi
n.k.
Sasa,vipi kuhusu dini na dhehebu?Fanya dodoso lako.
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Basi poa.
 
Acha kupotesha watu eti ukristo ni mfumo wa maisha,... haya basi nionyeshe sheria ya miradhi kwenye biblia kama ukristo ni mfumo wamaisha
Haya siyo maneno yangu Ni ya Yesu Mwenyewe mkuu....

Ambaye ndiye chanzo cha Ukristo

Na sheria zote za Mirathi ziko kwenye biblia...

Umekurupuka kunilaumu kwa sababu hujaisoma Biblia na hata kama umeisoma basi umepita haraka haraka bila kuelewa...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini sehemu zilizo na uislam sana hasa wabantu huwa lugha yao ya asili hupotea?
 
Jiulize,wakati hiyo katiba inaandikwa,kiwango cha kujua kiswahili na misamiati yake kilikuwa ni cha aina gani?
IMG-20220311-WA0003.jpg
 
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
Sio kweli,catholic ndio wanaoamini Marry kuwa mama ya Mungu,
 
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....

huyo mungu ndie alieteswa msalabani hana nguvu ya kujiokoa mungu gani huyo
 
wapi kwenye biblia yesu kasema mimi ni kristo? wapi kwenye biblia imeandikwa sherehe ya pasaka? wapi kwenye biblia imeandikwa kusali ni jumapili tu? wapi kwenye bibilia wakristo mmeruhusiwa kula nguruwe ?
 
Back
Top Bottom