Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Kikatiba hakuna dini ya kikristo

... wala ukristo hauhitaji kuwa dini maana dini hata za mizimu zipo! Salvation in Jesus Christ the Savior ndio mpango mzima. Na kila goti litapigwa; hakika kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA.
 
... wala ukristo hauhitaji kuwa dini maana dini hata za mizimu zipo! Salvation in Jesus Christ the Savior ndio mpango mzima. Na kila goti litapigwa; hakika kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA.
Mbona ukristo na hizo dini unazo ziita za mzimu ni yale yale tofauti ni matamushi na utaratibu ila wote hutagemea na kuabudu viumbe vilio pita au kufa
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Katiba na Sheria za Kibinadam hazitatui matatizo bali zinazidisha. Hata ziweje.
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Kwani uisilamu, una madhehebu mengi tu mfano: Budha,shiha,Suni n.k
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Wala siyo jambo la kushangaza kwa sababu Hata Yesu mwenyewe alisema Hakuja kuanzisha dini

Kwa mujibu wa Biblia ukristo siyo dini...
Ukristo ni Imani inayotupatia Mfumo wa Maisha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
lolz
 
Wala siyo jambo la kushangaza kwa sababu Hata Yesu mwenyewe alisema Hakuja kuanzisha dini

Kwa mujibu wa Biblia ukristo siyo dini...
Ukristo ni Imani inayotupatia Mfumo wa Maisha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Acha kupotesha watu eti ukristo ni mfumo wa maisha,... haya basi nionyeshe sheria ya miradhi kwenye biblia kama ukristo ni mfumo wamaisha
 
Una maana gani,au umekuja kuonesha kiwango cha ujinga wako,maajabu unaweza kuta we ni baba wa familia
If not we ni hopeless tu
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Nimesharipoti hii thread itafutwa punde
 
Niwakumbushe tu judaism,christianity and islam can all be tied to the same individual;
Simply means that Abraham is the common parent to all three(yaani all three are abrahamic religions au Ibrahim ndiye baba wa imani kwa dini zote hizi)
Huwa nashangaa udini ni wa kazi gani
 
Back
Top Bottom