Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Kikatiba hakuna dini ya kikristo

katiba zitapita lakini maneno ya Yeshua (Kristo) yatasimama milele na ufalme wake hauta anguka milele.
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Sawa,
Ndio maana tunahimiza katiba mpya. Hii ya Sasa sio kisiasa tu bali hata kijamii Ina mapungufu mengi Sana.
 
Nani aliwaambia kuweni Wakristo?
1650198932677.png
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Unajua Uislamu una madhehebu mangapi?
Suni
Shia
Ibadhi
Just to mention the few.
By the way Bikra zako 72 utazipiga Katerero ?
 
Back
Top Bottom