Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Aku
mi siwambii muache kuoana lakini kama kuna muda wakuendelea kuchunguzana embu chunguzaneni tu
mtumpunguzie matumizi ya vikao visivyo na per diem jamani
jana nimeenda kwa jamaa yangu nikakuta wanafamilia wengi nikahisi ni msosi ama shukrani ya ndoa
muda si mrefu jamaa akanitumia kaka huku si simba wala yanga nikauliza maanake nini akadai wametibuana
na familia yake kisa kurudi usiku,,jamanina sie wanaume kama umeoa unangania kurudi usiku ya nini???
Mbonahivyooooooooooo wandugu kama amkujiandaa si mngebaki kwa wazazi wenu muendelee
kuitana ma sweet ma orange chocolate etc,,,kisa nini hasa embu kama we ni ndugu yetu mwenye ndoa
yenye furaha tupe msaada kwa vijana wetu tuwasaidiaje...jamani
mi siwambii muache kuoana lakini kama kuna muda wakuendelea kuchunguzana embu chunguzaneni tu
mtumpunguzie matumizi ya vikao visivyo na per diem jamani
jana nimeenda kwa jamaa yangu nikakuta wanafamilia wengi nikahisi ni msosi ama shukrani ya ndoa
muda si mrefu jamaa akanitumia kaka huku si simba wala yanga nikauliza maanake nini akadai wametibuana
na familia yake kisa kurudi usiku,,jamanina sie wanaume kama umeoa unangania kurudi usiku ya nini???
Mbonahivyooooooooooo wandugu kama amkujiandaa si mngebaki kwa wazazi wenu muendelee
kuitana ma sweet ma orange chocolate etc,,,kisa nini hasa embu kama we ni ndugu yetu mwenye ndoa
yenye furaha tupe msaada kwa vijana wetu tuwasaidiaje...jamani