Kikao Cha Siri Cha Membe na JPM

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Ni kweli?
IMG_20200807_230208.jpg
 
Wapinzani sijui akili zao wameweka wapi, matapishi ya 2015 bado wanayataka kuyaweka mdomoni
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!
 
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!
Nachowashangaa hao watu ni kama walishindwa kufanikiwa wakati wa lowasa sasa watawezaje kushinda wakati wa lissu
 
Back
Top Bottom