Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,725
- 18,620
Ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwn yule ametumwa wala hakuna mjadala kwny hilo mkuu.Like serious, yaan hapa kama unahusika na chama cha mgombea aliyeagizwa kwenda upinzani unaweza kosa amani moyo kwa mgombea wako kumbe ni katuni tu hiyo
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!Wapinzani sijui akili zao wameweka wapi, matapishi ya 2015 bado wanayataka kuyaweka mdomoni
Nachowashangaa hao watu ni kama walishindwa kufanikiwa wakati wa lowasa sasa watawezaje kushinda wakati wa lissuCHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!