Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

anzeni kufurusha virago vyenu, watu waje kuwatumika watanzania!!
 
Hapo ndipo mtakapo jua kanuni za sisiem ni nyingi mpaka basi, mpaka hapa tayari watu walishachanganywa, chezea lowasa ccm.
 
Kwa nini ameongea kifichoni huko? Tunamtaka hadharani

Tatizo ni mfumo wenu kandamizi wa ccm ni mbovu na wanafiki wapo wengi sana ile cc yenu ya kisanii mliokaa siku ile Dodoma mbona ham kumwita kujitetea manake kama ni hukumu huwa inatolewa baada ya kusikiliza pande zote mbili ni kitu gani kiliwaogofya kuwaita kwenye hiyo kamati mpaka mkapeleka majina yaliyo pikwa hakika hiyo dhambi ya ubaguzi itawatafuna vibaya sana.
 
Aisee hapa kwa kweli tumesajili boonge la straiker,nitashangaa sana jinsi masisiem yatakavyosimama jukwaani na kusema Lowassa ni fisadi na mwizi wa mali ya umma,je walishindwa nini kumfikisha mahakamani wakati ni yao,majaji ni wao,polisi ni wao wanasubiri amri tu kutoka ugambani?Hahahaaa
 
Labda kama kajitoboa mwenyewe mbona yeye ndiyo mtuhumiwa namba moja kwenye Richmoonda zee jizi kweli hili.
 
Aisee hapa kwa kweli tumesajili boonge la straiker,nitashangaa sana jinsi masisiem yatakavyosimama jukwaani na kusema Lowassa ni fisadi na mwizi wa mali ya umma,je walishindwa nini kumfikisha mahakamani wakati ni yao,majaji ni wao,polisi ni wao wanasubiri amri tu kutoka ugambani?Hahahaaa myajinyea mwaka huu...

Ni kama kusajili Messi na Ronaldo kwa mpigo
 
Smtm jf inaleta raha sn. Huyu mtu wenyewe mlimtuhumu fisadi sasa sijui mlitumia vigezo gani. Leo mnasema ni msafi napo sijui mnatumia vigezo gani... kila la kheri octoba 2015
NB na ujasiri wa Slaa pamoja na Lissu kumtusi huyu jamaa hazarani ulitoka wapi? Hata kwenye mkutano wa mwanza kumtambulisha lembeli na ester walimtaja kuwa ni fisadi. Siasa ni kazi sana. Tusiozijua tukae kimya tusije umbuka mbeleni.
 
Back
Top Bottom