Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Smtm jf inaleta raha sn. Huyu mtu wenyewe mlimtuhumu fisadi sasa sijui mlitumia vigezo gani. Leo mnasema ni msafi napo sijui mnatumia vigezo gani... kila la kheri octoba 2015
NB na ujasiri wa Slaa pamoja na Lissu kumtusi huyu jamaa hazarani ulitoka wapi? Hata kwenye mkutano wa mwanza kumtambulisha lembeli na ester walimtaja kuwa ni fisadi. Siasa ni kazi sana. Tusiozijua tukae kimya tusije umbuka mbeleni.
Kweli kaa tu pembeni mkuu.
 
Siasa ni sawasawa na vidole vya mkono. Ukimnyooshea mwenzako kidole kimoja vilivyobaki vinakuonyooshea wewe mwenyewe...
 
Kwani wasila si alihama chama ccm kwenda nccr mbona haikuwa maneno au lowasa yeye ni wa kwanza.
 
11230650_1032512723460721_7202955320131719135_n.jpg
 
Acha kucheza na akili za watu. Photoshop at work.
attachment.php

Kama kweli hii ni Photoshop at work basi Taharifa ya habari ya ITV jana saa 2:00 Usiku hiyo ilikuwa ni Adobe Premiere?
Kubali yaishe.
MIMI HOJA YA UKAWA INAANZA KUNIINGIA AKILINI.
 
Wassira amewahi kua waziri mkuu mstaafu ? Au unaropoka tu

we ndezi kweli, kwani hoja ni mstaafu waziri mkuu kuhama chama au mwana-ccm kuhamia upinzani?

anahama mtu au cheo? next tym utauliza kwani wassira anaitwa lowassa?
 
Yapo mambo yanatokea na yanakuwa ni mpango wa mungu
Kuna dhana inajengeka kama Dr slaa hakushirikishwa kikamilifu kwenye maamuzi ya kumpokea Lowassa Chadema
Lakini leo napenda nitoe pongezi za dhati kwa yule kamanda aliyepata wazo la kumpiga picha Dr slaa akiwa na wenzake kwenya kamati kuu.
Na hiyo ndio imegeuka fimbo kuu ya kumfunga Dr mdomo,La sivyo angeweza kutuadaa kuwa maamuzi yaliyofikiwa hakushirikishwa na niya mwenyekiti pekee
Pongezi nyingi zimwendee yule kamanda aliyepiga picha zile zimetuondolea utata mkubwa sana
Na hiyo ndio mipango ya mungu huwa lazima itimie hata kama kutakuwa na vikwazo vya shetani.
 
Weka hizo picha tuzione mkuu,maneno matupu sio deal...
 
Back
Top Bottom