Gawaneni fito ili iwe alfa na Omega ya CHADEMA.Maana uzushi na majungu ndio sifa yenu kuuKuelekea Kamati Kuu, Kubenea Saed na Anthony Calist Komu wasipate nafasi ya huruma, bali Chama na umma ndio upate nafasi ya huruma kwakufutwa machozi yao ya kukitumikia chama hiki kwa jasho na damu, na kufutwa kwao kuwe ni kwakufukuza wasaliti wote ndani ya Chama.
Naandika haya usiku huu nikijaribu kuwarejesha nyuma kidogo, juu ya usaliti wa watu hawa wawili, na namna chama kilivyojaribu kuwasamehe mara kadhaa lakini imeonekana wao wanautafuta sana mlango wa kutokea.
Kwanza visa na vitimbi vya wabunge hawa vilianza baada ya uchaguzi, na Chama kilipofanya mabadiliko ya kurugenzi zake kama sehemu ya utaratibu wa kawaida wa baada ya miaka mitano hubadili safu za kiongozi za chama makao makuu nk.
Baada ya mabadiliko hayo, Komu aliyekuwa ni mkurugenzi wa fedha wa chama hiki aliondolewa katika nafasi hiyo na ikachukuliwa na mwanachama mwingine, Pia mke wa Kubenea (hawara), aliyekuwa mtumishi makao makuu aliondolewa na nafasi yake ikashikwa na mwanachama mwingine.
Sera ya muundo mpya wa mabadiliko kwamba wabunge wasiwe wakurugenzi wa idara makao makuu, iliasisi wa na Katibu Mpya Mh Dr. Mashinji na ikaungwa mkono kwa nguvu zote na Kamati Kuu ya Chama. Wabunge wengi waliokuwa wananafasi za kiuongozi wa walipoteza nafasi zao isipokuwa naibu katibu mkuu Bara na Mwenyekiti.
Hatua hii iliwaudhi sana Komu na Kubenea na kwakuwa ni wabia kibiashara, walipokutana kujadili kilichojiri kupoteza nafasi pale makao makuu, Wakajiridhisha kuwa mbaya wao ni Mwenyekiti wa Chama, hivyo wakaanzisha vita ya chini kwa chini iliyoenda sambamba na kibri na kumvunjia heshima kupitia mitandao ya kijamii (wanakikundi cha vijana wasaliti) na magazeti yake ya mwanahakisi nk.
Naomna nitoe sehemu ndogo tu ya matukio, nitawakumbusha, naamini na Kamati kuu kesho itawasomea haya na mengine mengi.
1. Miezi sita tangu apotee Ben Saanane huku Chama na Watanzania nchi nzima wakiwa kwenye hekaheka ya kumtafuta Ben, na huku wakishinikiza serikali iharakishe kumtafuta Mtanzania mwenzetu, Saed Kubenea akishirikiana na Antony Komu aliyejitambulisha katika taarifa ya gazeti kama mjumbe wa Kamati kuu, waliandika kuwa Ben hajatekwa, yuko vijiweni kajificha tu, Mbowe anajua alipo.
Taarifa hii kwa shemu kubwa ilikichafua chama, ilififisha juhudi za Watanzania kuishinikiza serikali, na kwa namna yoyote ile taarifa hii ilipunguza spidi ya Jeshi la Polisi katika kuendelea na uchunguzi. Kwa taarifa hii tu Kubenea na Komu walistahili kufukuzwa katika chama na kuwakabidhi kwa mamlaka za nchi wasaidie kuonyesha Ben Saanane alipo.
2. Baada ya Lissu kupigwa risasi na kukimbizwa Nairobi, huku Chama na umma ukiendelea na harambee ya kuchangia matibabu ya Lissu, Saed Kubenea na Antony Komu kwakushirikiana na watesi wetu, walianzisha kampeni ya kumchochea Lissu na kutengeneza mgogoro kati ya chama na Lissu,mpaka Lissu alipowashushua wakaingia mitini kabisa. Hili tu lilitosha Antony Komu ma Kubenea kufukuzwa katika Chama hiki.
3. Antony Komu na Saed Kubenea wakijua wazi ni kosa kwamjibu wa Katiba ya Chama, Wameanzisha ziara za kuzunguka mikoani kutengeneza Mtandao wa kuasi chama huku wakisambaza habari za kuchafua uongozi uliopo madarakani kikatiba. Hatua hii ni kosa linalostahili kufukuzwa uanachama.
4. Huku wakijua ni mwiko kikanununi na kimaadili ya chama, Kubenea na Komu walipoitwa mbele ya mamlaka za kinidhamu za chama na kuonywa, katika hali ya kustaajabisha na kuonyesha wanatafuta kufukuzwa kwa nguvu, wakavujisha barua zao za kujieleza walizoandikiwa na chama kama hatua za kinidhamu. Kwa hatua hii tu walishahili kufukuzwa kabisa katika chama.
5. Huku tayari wakiwa wameshaandikiwa barua za maonyo kama nilivyoeleza hapo juu, Kubenea na Komu hawakujali wala kusikia, Wakanaswa na teknolojia ya mzungu, Sauti (Audio) ya Njama za kuwabambikia kesi viongozi wenzao na kupanga kuwapoteza baadhi ya wajumbe (Boniface Jacob), ikiwemo kumtengenezea kesi ya utakatishaji fedha Mwenyetiki wa Chama Mh Freeman Mbowe. (Rejea kusikiliza hiyo audi hapo chini).
Hayo ni machache ninayoamini hayatakuwa na mjadala mrefu zaidi ya kuwasomea mashitaka, kuwasikiliza na kuchukua kadi zao tu.
Chama hiki sio Cha mtu au kikundi, yeyote anayetusaliti watanzania ni lazima tumsailiti kabla hajatusaliti. Fukuzeni wote waende kumtumikia anayewapa jeuri huko ccm.
LETS GO BACK TO OUR ROOTS!
Na Yericko Nyerere
View attachment 900563
Ipo siku na wewe utafunguka macho...hakuna aliyekamilika but Mbowe Sasa hafai na kashazeeka
Itakuwa mpya chini ya Mwenyekiti mpya tu, siyo huyo makengeza aliyekosa maono. Tofauti na hapo CHADEMA ni ile ile jana na leo, mpaka itakapozikwa rasmiTunataka CHADEMA Mpya isiyo na mamluki wala mapandikizi
...CDM mnahitaji kupatana kuliko kufukuzana.
..Majuzi mlitangaza SERA mpya ya chama.
..badala ya kutangaza sera mnatangaza maugomvi yenu.
Acha kukulupuka...magufuri hata miaka mitano ya uwenyekiti hajamaliza...haya huyo babu wenu kwenye uenyekiti ana miaka mingapi...assume angepewa urais si angebadili katiba nakua mfalme...Hivi Mbowe na Magufuli nani ana umri mkubwa?
Wafukuzeni ili muendelee kuifurahisha CCM kwa manufaa na ustawi wa CCM. Viginevyo uongozi wowote wa upinzani wenye hekima hata kidogo tu hauwezi kufukuza mwanachama katika kipindi hiki kigumu kwao. Yatakuwa maamuzi yenye kushinikizwa na CCM na naaza kuamini Chadema itakuwa imeanza kukubali kusambaratishwa kwa propaganda ndogo sana. kwa hili tusiilaum CCM walaumiwe viongozi kwa kukubali kutegeka na kunaswa kirahisi sana.Kuelekea Kamati Kuu, Kubenea Saed na Anthony Calist Komu wasipate nafasi ya huruma, bali Chama na umma ndio upate nafasi ya huruma kwakufutwa machozi yao ya kukitumikia chama hiki kwa jasho na damu, na kufutwa kwao kuwe ni kwakufukuza wasaliti wote ndani ya Chama.
Naandika haya usiku huu nikijaribu kuwarejesha nyuma kidogo, juu ya usaliti wa watu hawa wawili, na namna chama kilivyojaribu kuwasamehe mara kadhaa lakini imeonekana wao wanautafuta sana mlango wa kutokea.
Kwanza visa na vitimbi vya wabunge hawa vilianza baada ya uchaguzi, na Chama kilipofanya mabadiliko ya kurugenzi zake kama sehemu ya utaratibu wa kawaida wa baada ya miaka mitano hubadili safu za kiongozi za chama makao makuu nk.
Baada ya mabadiliko hayo, Komu aliyekuwa ni mkurugenzi wa fedha wa chama hiki aliondolewa katika nafasi hiyo na ikachukuliwa na mwanachama mwingine, Pia mke wa Kubenea (hawara), aliyekuwa mtumishi makao makuu aliondolewa na nafasi yake ikashikwa na mwanachama mwingine.
Sera ya muundo mpya wa mabadiliko kwamba wabunge wasiwe wakurugenzi wa idara makao makuu, iliasisi wa na Katibu Mpya Mh Dr. Mashinji na ikaungwa mkono kwa nguvu zote na Kamati Kuu ya Chama. Wabunge wengi waliokuwa wananafasi za kiuongozi wa walipoteza nafasi zao isipokuwa naibu katibu mkuu Bara na Mwenyekiti.
Hatua hii iliwaudhi sana Komu na Kubenea na kwakuwa ni wabia kibiashara, walipokutana kujadili kilichojiri kupoteza nafasi pale makao makuu, Wakajiridhisha kuwa mbaya wao ni Mwenyekiti wa Chama, hivyo wakaanzisha vita ya chini kwa chini iliyoenda sambamba na kibri na kumvunjia heshima kupitia mitandao ya kijamii (wanakikundi cha vijana wasaliti) na magazeti yake ya mwanahakisi nk.
Naomna nitoe sehemu ndogo tu ya matukio, nitawakumbusha, naamini na Kamati kuu kesho itawasomea haya na mengine mengi.
1. Miezi sita tangu apotee Ben Saanane huku Chama na Watanzania nchi nzima wakiwa kwenye hekaheka ya kumtafuta Ben, na huku wakishinikiza serikali iharakishe kumtafuta Mtanzania mwenzetu, Saed Kubenea akishirikiana na Antony Komu aliyejitambulisha katika taarifa ya gazeti kama mjumbe wa Kamati kuu, waliandika kuwa Ben hajatekwa, yuko vijiweni kajificha tu, Mbowe anajua alipo.
Taarifa hii kwa shemu kubwa ilikichafua chama, ilififisha juhudi za Watanzania kuishinikiza serikali, na kwa namna yoyote ile taarifa hii ilipunguza spidi ya Jeshi la Polisi katika kuendelea na uchunguzi. Kwa taarifa hii tu Kubenea na Komu walistahili kufukuzwa katika chama na kuwakabidhi kwa mamlaka za nchi wasaidie kuonyesha Ben Saanane alipo.
2. Baada ya Lissu kupigwa risasi na kukimbizwa Nairobi, huku Chama na umma ukiendelea na harambee ya kuchangia matibabu ya Lissu, Saed Kubenea na Antony Komu kwakushirikiana na watesi wetu, walianzisha kampeni ya kumchochea Lissu na kutengeneza mgogoro kati ya chama na Lissu,mpaka Lissu alipowashushua wakaingia mitini kabisa. Hili tu lilitosha Antony Komu ma Kubenea kufukuzwa katika Chama hiki.
3. Antony Komu na Saed Kubenea wakijua wazi ni kosa kwamjibu wa Katiba ya Chama, Wameanzisha ziara za kuzunguka mikoani kutengeneza Mtandao wa kuasi chama huku wakisambaza habari za kuchafua uongozi uliopo madarakani kikatiba. Hatua hii ni kosa linalostahili kufukuzwa uanachama.
4. Huku wakijua ni mwiko kikanununi na kimaadili ya chama, Kubenea na Komu walipoitwa mbele ya mamlaka za kinidhamu za chama na kuonywa, katika hali ya kustaajabisha na kuonyesha wanatafuta kufukuzwa kwa nguvu, wakavujisha barua zao za kujieleza walizoandikiwa na chama kama hatua za kinidhamu. Kwa hatua hii tu walishahili kufukuzwa kabisa katika chama.
5. Huku tayari wakiwa wameshaandikiwa barua za maonyo kama nilivyoeleza hapo juu, Kubenea na Komu hawakujali wala kusikia, Wakanaswa na teknolojia ya mzungu, Sauti (Audio) ya Njama za kuwabambikia kesi viongozi wenzao na kupanga kuwapoteza baadhi ya wajumbe (Boniface Jacob), ikiwemo kumtengenezea kesi ya utakatishaji fedha Mwenyetiki wa Chama Mh Freeman Mbowe. (Rejea kusikiliza hiyo audi hapo chini).
Hayo ni machache ninayoamini hayatakuwa na mjadala mrefu zaidi ya kuwasomea mashitaka, kuwasikiliza na kuchukua kadi zao tu.
Chama hiki sio Cha mtu au kikundi, yeyote anayetusaliti watanzania ni lazima tumsailiti kabla hajatusaliti. Fukuzeni wote waende kumtumikia anayewapa jeuri huko ccm.
LETS GO BACK TO OUR ROOTS!
Na Yericko Nyerere
View attachment 900563
Kuwa na akili,aliyemtia makengeza yuko chadema saiz. Ni maajabu Kubenea kuendelea kuishi na mtu aliyemtia makengezaKama kweli Kubenea anataka kwenda ccm bas ni hatar Sana,watu wamemtia umakengeza hafu anawafuata tena huko ama kweli mungu akunyime pesa lkn sio akili! Hakuna hatuta fika kokote,kama watu hujijali wao na sio wenzao