Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Nipo nawe,maneno yake ya kukurupuka yamemtokea puani; mfano, 'wapigwe tu' na 'fedha za ESCROW siyo za serikali' leo ameumbuka.
 
Katika watu ambao nawakubali kwa utunzi Yeriko namkubali. Nadhani anamkaribia aliyekua Waziri wa Propaganda wa Ujerumani enzi ya Hitler
 
Katika watu ambao nawakubali kwa utunzi Yeriko namkubali. Nadhani anamkaribia aliyekua Waziri wa Propaganda wa Ujerumani enzi ya Hitler, au Mzee yahaya
 
Pamoja na udhaifu wa PM nina shaka kama ataondoka ila ni wazi kwamba. Muhongo, Maswi na CAG wanatoka hii ni kwa sababu CCM psmoja na yote wamekubaliana kwamba serikali yao isianguke kuelekea uchaguzi mkuu
 
Duu....ngoja nika mnunulie mafuta walau lita 5 za kuanzia ruti za nkuhungu, chako ni chako, kisasa, area D, kizota etc mkuu Pinda karibu mnadani kesho tukale nyama choma .

Mkaribishe nyama choma hapo Toroka Uje.Kuna Kitu moto cha kuchoma hapo.
 
Last edited by a moderator:

nimeamini kuwa, yeriko nyerere kweli anatumiwa kihuni na MEMBE. #yeriko_nyerere

Mweee! watu mna roho za kishetani kweli. Na kaburi linawasubiri kwa chumvi na uongo.umeshatudanganya sana humu


Ngoja tusubiri humu.
 
naona mbinu ya kwanza inafanikiwa na ni very boring naenda kulala tu.
 
Na tunakoreekea wamekubali uchunguzi ufanyike. Such a failing parliament.
 
baada ya dr slaa na mushumbusi kuwa wanakutana na sindano za hatari humu jf waliamua kujitoa na kumkabidhi yerico kitengo cha propaganda,jamaa sasa ndo kazi inayomweka mjini,ufundi uashi alishaacha
 
Like ................
 
baada ya dr slaa na mushumbusi kuwa wanakutana na sindano za hatari humu jf waliamua kujitoa na kumkabidhi yerico kitengo cha propaganda,jamaa sasa ndo kazi inayomweka mjini,ufundi uashi alishaacha

Wengine humu jamvini tunafuatilia habari bila kujali nani ameileta. Kama mbofumbofu tunaipuuza, kama ina matinki, tunaifuatilia na kuchangia kama muda upo.

Kwa jinsi Yericko anavyotupasha habari, mimi nampongeza sana. Karibu 90% alerts alozitoa zimekuwa kweli. Kwa nini tusimuamini? Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…