Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Kikao cha CCM mchana huu Dodoma!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Kikao cha CCM kimeitishwa mchana huu baada ya mapumziko ya bunge.

Tayari makamu wa rais ameshafika na viongozi waambata wote wa CCM, kinafanyika ukumbi wa White House.

Jambo la kuhashiria kuwa huenda jioni kukawa na breaking news ni kuwa tayari gari binafsi ya waziri mkuu yenye namba za usajiri T 164 AKF aina ya range rover imeshawasili eneo hili sambamba na familia yake.

Habari zilizozagaa toka kwa wabunge hapa ni kuwa jaribio la jana la kuwatuliza wabunge wa CCM limekwama kulingana na michango ya wabunge asubuhi, Sasa wamepanga binu mbili, moja ni kushinikiza bunge liiagize serikali ifanye uchunguzi kupitia ripoti ya CAG, PCCB na mapendekezo ya PAC na kisha bunge lijalo mwakani Feb 2015 serikali ije na majibu.

Na mbinu ya pili ni kukubali yaishe watu wawajibike leo leo.
 
Waambie wapiganaji hapo Dodoma wasikubali Upuuzi wowote wa huu ukoo wa panya, OUR MONIES must be returned. Pinda et.al, 2014 must go.
 
Tunaomba ushahidi. Hizi tetesi zako mara nyingi ni uzushi tu.
 
take care brother @YerickoNyerere hawachagui pa kupiga hawa.
 
Waondoke Tu Bunge liagize nini tena wakati maagizo ya Bunge kwa serikali yamekwishafanyiwa kazi? Au wanategemea cag takukuru Na tra watabadili taarifa zao. Upuuzi huu.
 
Duu....ngoja nika mnunulie mafuta walau lita 5 za kuanzia ruti za nkuhungu, chako ni chako, kisasa, area D, kizota etc mkuu Pinda karibu mnadani kesho tukale nyama choma .
 
Last edited by a moderator:
njama chafu za ccm haziwezi kufanikiwa kamwe
 
Back
Top Bottom