Kikao cha Bunge cha Oktoba: Yaliyojiri

Quote:
Originally Posted by Paparazi Muwazi
Zitto:

.....4. Kwa hiyo unataka kusema Pinda alilidanganya taifa aliposema Meremeta ni siri ya Jeshi?

Nilisema Bungeni kuwa Waziri Mkuu alikosea na kwamba Meremeta sio suala la Usalama wa Taifa. Ninarudia kusema kuwa Waziri Mkuu alikosea. Meremeta ilikuwa kampuni na serikali ilitumia kampuni hiyo kuchota fedha za umma na kuilipa kampuni ya Afrika Kusini. Ni sehemu ya Ufisadi. Pinda hakuwa sahihi.
PM


Nimekujibu ndani ya quotes zako kwa rangi na bold

Zitto, naona hapo unataka kutumia diplomasia ya 'kakosea'. Ukweli unabaki wazi kuwa Waziri Mkuu alilidanganya Bunge, na wito wangu kwenu Wabunge baada ya kugundua hilo na kutoa kwenye Ripoti ya Kamati ya Tume ya Bomani kuwa "alikosea"basi mumtake Waziri Mkuu akanushe kauli yake kwa kukiri kuwa alikosea vinginevyo Kanuni sahihi za Bunge juu ya Kiongozi au Mbunge kulidnganya Bunge ichukue mkono wake.

Mh. Nakuomba kuwa umtake Waziri Mkuu akiri kuwa litoa taarifa siyo sahihi na atengue kauli yake otherwise...kama walivyokutenda wewe, ingawa haikuwa haki.
 
Nimekujibu ndani ya quotes zako kwa rangi na bold


Nilisema Bungeni kuwa Waziri Mkuu alikosea na kwamba Meremeta sio suala la Usalama wa Taifa. Ninarudia kusema kuwa Waziri Mkuu alikosea. Meremeta ilikuwa kampuni na serikali ilitumia kampuni hiyo kuchota fedha za umma na kuilipa kampuni ya Afrika Kusini. Ni sehemu ya Ufisadi. Pinda hakuwa sahihi.


Mh Zitto, naomba ufafanuzi kidogo hapo, waziri mkuu anadanganya ndani ya bunge, sheria zinasemaje? Maana Mh Pinda alisema tena kwa kurudia Meremeta ni suala la usalama wa taifa na hakuwa tayari kulijadili...kamati inasema ni kampuni ya serikali, sasa sisi wapiga kura mnatuchanganya

Asante
 
Quote:
Originally Posted by Paparazi Muwazi
Zitto:

.....4. Kwa hiyo unataka kusema Pinda alilidanganya taifa aliposema Meremeta ni siri ya Jeshi?

Nilisema Bungeni kuwa Waziri Mkuu alikosea na kwamba Meremeta sio suala la Usalama wa Taifa. Ninarudia kusema kuwa Waziri Mkuu alikosea. Meremeta ilikuwa kampuni na serikali ilitumia kampuni hiyo kuchota fedha za umma na kuilipa kampuni ya Afrika Kusini. Ni sehemu ya Ufisadi. Pinda hakuwa sahihi.
PM




Zitto, naona hapo unataka kutumia diplomasia ya 'kakosea'. Ukweli unabaki wazi kuwa Waziri Mkuu alilidanganya Bunge, na wito wangu kwenu Wabunge baada ya kugundua hilo na kutoa kwenye Ripoti ya Kamati ya Tume ya Bomani kuwa "alikosea"basi mumtake Waziri Mkuu akanushe kauli yake kwa kukiri kuwa alikosea vinginevyo Kanuni sahihi za Bunge juu ya Kiongozi au Mbunge kulidnganya Bunge ichukue mkono wake.

Mh. Nakuomba kuwa umtake Waziri Mkuu akiri kuwa litoa taarifa siyo sahihi na atengue kauli yake otherwise...kama walivyokutenda wewe, ingawa haikuwa haki.

Ibrah,

mhhhhhhhhh................. siendi huko. Kumbuka mimi kiongozi na hivyo lazima nichague maneno. Tafsiri waweza kuweka. As a leader, i am expected to be different, au unasemaje?
 
Nimekujibu ndani ya quotes zako kwa rangi na bold

Kiongozi Zitto, hapo sasa tumeanza kuona insight kutokana na uelewesho wako (kwangu binafsi, nadhani na baadhi ya wanaJamvi pia). WanaJamvi wenzangu, katika mistari hapo juu inaonekana kuna baadhi yetu (mimi nikiwemo) tunafanya/tumekuwa tunafanya "Generalization" ya issues katika hili ni swala la uundwaji wa kamati.

Kiongozi kwenye jibu lake la mwisho ameongea hoja moja muhimu kwenye jibu lake kwa swali la pili la PM, ambapo naweza kuiweka kama ni mojawapo ya "TACTICS" considring the situation!

Haya tuendelee kumkoma nyani giliadi!!
 
Ibrah,

mhhhhhhhhh................. siendi huko. Kumbuka mimi kiongozi na hivyo lazima nichague maneno. Tafsiri waweza kuweka. As a leader, i am expected to be different, au unasemaje?

You are quite right. Lakini ninyi Wabunge mliokuwa kwenye Tume ya Bomani mmegundua kuwa Waziri Mkuu alikosea, nasi laymen pia tumejua kuwa "alikosea" sasa ili kumnusuru Waziri Mkuu na kulinda heshima yake na ya Bunge, muombeni akiri kuwa alikosea, kwa naye si bianadamu tu ambaye hukosea kama mwingine awaye yote? Vinginevyo huku uraiani tukigundua kuwa hakukosea bali alidhamiria hali itakuwa mbaya.

Mfikishieni ujumbe kwa heshima ili Bunge liwe sehemu ya ukweli na liendelee kuwa "takatifu".
 
Nimekujibu ndani ya quotes zako kwa rangi na bold

Nashukuru

Hoja yangu haikuwa kamati teule ya bunge. Hoja yangu ilikuwa kwa huyo huyo Rais Kikwete-kama alikuwa na mamlaka ya kuunda Tume kama alivyofanya kwa mauaji ya watanzania Sinza na uhamishaji ihefu lakini akaamua kuunda kamati isiyokuwa na mamlaka makubwa. Huoni kwamba amekucheza shere wewe na hoja yako? Kwa kuwa ni kamati ya kawaida, ndio maana hayo mambo ya Buhemba na mingineyo mmeshindwa kuyafanyia kazi mpaka mwisho kwa kuwa haikuwa hadidu rejea wala mamlaka yenu. Kwa kuwa ni kamati ni rahisi pia kwa rais kuweka kapuni hoja zenu nzuri.

Na kwani Bunge lilikataa hoja ya Mbunge Arfi ya kutaka mapendekezo ya ripoti ya Bomani yapitishwe na Bunge ili iwe lazima kwa serikali kutekeleza pendekezo kwa pendekezo kama ilivyo kwa yale mapendekezo 23 ya RICHMOND?

PM
 
Zitto,

..hivi per diem mlikuwa mnalipwa kiasi gani kwenye Tume ya Bomani, na ile ya Afrika Masharika ya Prof.Wangwe?
 
Zitto,

..hivi per diem mlikuwa mnalipwa kiasi gani kwenye Tume ya Bomani, na ile ya Afrika Masharika ya Prof.Wangwe?

Na hawa ndio watanzania tunaotakiwa kuwaongoza kikamilifu....kuna kazi!!!!

Tanzanianjema
 
Heshima mbele wakuu... Leo nimesoma yaliyojiri jana kwenye kikao cha Bunge kwenye the Guardian na kwa kweli nimefurahishwa sana na Mhe Mkono alivyokataa kupitisha mada..... Hii ndiyo tunaita kutenda kwa manufaa ya umma.... Hongera heshimiwa na iwe mfano kwa wengine wengi!!

Wapambanaji, kazi ndio imeanza tuendeleze shughuli hii!!

MP Mkono wants owner of Buhemba Gold Mine named

2008-10-31 10:53:55
By Rose Mwalongo, Dodoma


Musoma North legislator Nimrod Mkono yesterday refused to endorse a report by the mining committee appointed by President Jakaya Kikwete on account that it had failed to name the real owner of Buhemba Gold Mine.

Mkono expressed his dissatisfaction when discussing views of the Parliamentary Committee on Energy and Mining on the report of a presidential committee on mining.

``I am surprised to note that the committee has failed to solve the mystery on who the real owner of Buhemba Gold Mine is.

I had a lot of faith in the committee since it has some members from the opposition camp, and I thought they would solve the puzzle because they had earlier on made a lot of noise about it.

I guess they are only good at making noise when outside but once inside they seem cowed,`` charged Mkono.

The MP said further that he once went to visit the mine with some of his colleagues, namely Mark Mwandosya, Ibrahim Msabaha and Stephen Wasira.

``I later noted that my colleagues had gone somewhere, and when they came out they would not disclose to me what had transpired.

I felt that there was something sinister about the whole thing,`` Mkono said.


He said he would never endorse the report until the real owner of the mine was named.

``I am quite surprised that they want us to investigate it now while the committee had been mandated to do so,`` he said.

SOURCE: Guardian
 
Back
Top Bottom