Kijiografia/kihistoria ama kiutamaduni: mlima kilimanjaro unatakiwa kuwa Tanzania au Kenya?

Sokoro waito

JF-Expert Member
Nov 21, 2014
2,201
2,587
Wadau mara kadhaa tumesikia wakenya wakisema mlima kilimanjaro uko kwao? Ninaomba kueleweshwa kwa undani kabisa kuhusu jambo hili. Karibuni.
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
kigoma na rwanda hazipakani mkuu, labda useme kigoma burundi.
nyingine zote ni stori. Kilimanjaro iko Tanzania
 
Naomba namimi nikuulize...hivi ninyi wataita ni wakenya au wa-tz?
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
Upo sahihi
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
Kabla ya mgawanyo wa bara la Afrika katika mkutano wa berlin hakukuwa na nchi kama hivyo ulivyojaribu kuwaaminisha watu ...kulikuwa na jamii za buganda ,buhaya , nyamwezi na kadharika... nchi ziliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao na wala hawakujali tamaduni za jamii za kiafrika ndio maana hata leo jamii za mipakani hushabihiana lakini si wamoja tena kutokana na mipaka ya wakoloni

Hilo ziwa nyasa halijawahi kuwa ni la malawi maana mpaka wa msumbiji upo dhahiri isipokuwa wa Tanzania...
ukitaka hivyo unavyosema hata Pwani ya Afrika mashariki itabidi irudi katika usultani wa Zanzbar ikijuisha dar na mombasa....
Kilimanjaro ilikuwa Kenya kama vile ziwa victoria ambavyo halikuwahi kuwa Kenya pia mombasa

cha msingi ni ujue kuwa azimio la umoja wa mataifa ni kuheshimu mipaka iliyoachwa na wakoloni..
 
Kihistoria ule mlima upo kenya, na hata ziwa nyasa ni la nchi ya malawi, maeneo ya kigoma ni sehemu ya rwanda, na bukoba/kagera ni sehemu za uganda,
Hiyo ilikuwa kabla ya mgawanyo na mnyang'anyiro wa bara la africa. Au wanaita scramble for/ and partition of africa.
Sasa baada ya mgawanyo ndipo kwenye nyakati hizo hizo ikabidi ramani ya bara la africa lichorwe upya kwasababu hapo mwanzo zilikuwa zinazotawala sio himaya moja(serikali),
bali mtawala ilikuwa ni vikundi vya makabila mbali mbali.
Hivyo baada ya ramani kuchorwa ndipo sasa kasheshe ikaanzia hapo,
Na ndipo hapo Tanganyika tulipopata vitu kama mlima kilimanjaro, ziwa nyasa, kigoma, bukoma na kagera pamoja na maeneo mengine na ukumbuke kwamba huo ulikuwa ni wakati wa wakoloni,
sasa baada ya nchi nyingi kupata uhuru na kujikomboa kutoka kwa mkoloni ndipo nchi zikaanza kudai maeneo yao yaliyoporwa na wakoloni enzi wanachora ramani,
huku wakida kwamba hizo ramani zimechorwa kulingana na uongozi wa wakoloni na kwavile huo uongozi haupo basi na ramani zivunje kisha zianze kutumika zile ramani kabla ya kuja wakoloni...
Dah ningeendelea sema niko bize mkuu
Mkuu historia hii uliyoitoa nina mashaka nayo. Hasa kuhusu upande wa kilimanjaro na mlima kuwepo KENYA je kuna lugha (lahaja) ya kichaga Kenya ? Kama hakuna basi jamii hizo hazikuchangamana kama zile za Bukoba na Uganda na kwengineko.
 
Mkuu historia hii uliyoitoa nina mashaka nayo. Hasa kuhusu upande wa kilimanjaro na mlima kuwepo KENYA je kuna lugha (lahaja) ya kichaga Kenya ? Kama hakuna basi jamii hizo hazikuchangamana kama zile za Bukoba na Uganda na kwengineko.
Unazungumziaje wakazi wa mtwara na nchi ya msumbiji kuhusu lafudhi yao???
Unazungumziaje wakazi wa tanga(wadigo) na mji wa mombasa kuhusu lafudhi zao??
Sasa utata ulitakiwa uwepo maeneo hayo,
na kama niliposema hapo awali mwanzoni jamii zilikuwa zinaishi kimakundi(kikabila), sasa hauwezi kulazimisha eti watu wa arusha wawe na lafudhi sawa na watu wa Mwanza eti kisa mikoa yao imepakana,
ingekuwa hivyo basi makabila yote yangekuwa yanaongea lugha moja
 
We in mkenya ? Mbona unapenda chokochoko sana. Hapa ulipo unakuhusu nn. Usiwe na akili kama hao watu wanaouana kila baada ya 5yrs.
 
Back
Top Bottom