MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
kijijini jioni hakuna lakufanya.
ni ngono na kinywaji kwenda mbele.
Na nyinyi wa mji mna nini zaidi, niambie mtu wa rika lake mjini anaentertainment gani?
kijijini jioni hakuna lakufanya.
ni ngono na kinywaji kwenda mbele.
Na nyinyi wa mji mna nini zaidi, niambie mtu wa rika lake mjini anaentertainment gani?
Kufukuzana na migambo wa jiji, kuvaa Jezi za Manchester na kujua kuendesha Bodaboda.
Hiyo kwa vijana na mzee kama huyo over 55 maybe
He has no drinking problems, he drinks, he gets drunk, he falls down, there is no problem!
WangenIngekuwa mjini wangesha msachi.
Ingekuwa mjini wangesha msachi.
Huyo kama sio YANGA basi CCM