Kijembe cha Spika: Wanaotafuta Uwaziri ni wengi na Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba!

Hivyo basi kwa mwenendo huo wananchi wana safari kubwa sana ya kujenga Nchi yao wenyewe,kwa kuwa kumbe viongozi wetu wanajnga Nchi kwa personal conflict of interst zaidi kuliko matamanio ya kuleta ustawi kwa wananchi ambao wamewachagua wao wabunge,na baadhi yao kuibuka kuwa Mawaziri kwenye Serikali yetu.Hakika bado ni giza tololo tunaitaji Watanzania makini watuamshe usingizini.
 
Its too late, every one is now aware of her callowness on translating laws. It's enough to say that she fortuitously found herself in that chair but she holds no credentials and not in the same league with her predecessor.
Hapa mama anaseam aliyoyasikia huko Malawi kwenye kikao Cha mMaspika wa wanaotoka nchi za jumuia ya Madola kwahi tuje kabisa na wala tusitarajie kuwa atayatekeleza maana hamuwezi Mukama aliyesema kuwa angefurahia kamati zote ziongozwe na wa CCM( Chama cha Mafisimaji)
 
Tusikimbilie tu kumpongeza kwa kuwa amesema, tusubiri tuone akianza kuishi yale ayahubiriyo ndio tumpongeze! kwani kabla ya kuanza bunge si alisema pia kuwa hatokuwa anapendelea upande wowote katika mijadala ya bunge! je baada ya bunge kuanza amefanya nini! completely the opposite! hebu na tusubiri tuone, maana njia ya muongo ni fupi!
 
Hapa mama anaseam aliyoyasikia huko Malawi kwenye kikao Cha mMaspika wa wanaotoka nchi za jumuia ya Madola kwahi tuje kabisa na wala tusitarajie kuwa atayatekeleza maana hamuwezi Mukama aliyesema kuwa angefurahia kamati zote ziongozwe na wa CCM( Chama cha Mafisimaji)

Kwa tathmini ya haraka kati ya Spika Makinda na naibu wake Job Ndugai, bora Makinda, maana tumeshuhudia mwanaume mzima Job Ndugai alivyopagawa na kiti kile wakati Makinda hayupo na kuanza kuharibu taratibu za kuendesha vikao hadi kuanza kuwafukuza nje wabunge wa chama cha upinzani bungeni. Pamoja na mitafaruku yote iliyotokea bungeni Spika Makinda hakuwahi kuchukua hatua hiyo ila alitumia busara kuzima. Pamoja na kwamba ni mkereketwa wa Chama chake lakini ni bora kuliko alivyo Ndugai.
 
Tusikimbilie tu kumpongeza kwa kuwa amesema, tusubiri tuone akianza kuishi yale ayahubiriyo ndio tumpongeze! kwani kabla ya kuanza bunge si alisema pia kuwa hatokuwa anapendelea upande wowote katika mijadala ya bunge! je baada ya bunge kuanza amefanya nini! completely the opposite! hebu na tusubiri tuone, maana njia ya muongo ni fupi!

Mcheza mpira anavyoshangiliwa na mashabiki ndivyo anavyopagawa kufanya maajabu uwanjani, penye neno zuri tuendelee kuonyesha ustaarabu wetu, si kila kitu hata kizuri kukibeza tu tutakuwa kama wapiga debe, maana hata gari likiwa bovu wapiga debe watalipamba hilo hata kwa kuvua shati lake ili mradi alitundike bendera kwenye mkweche wake abiria wajae.
 
Back
Top Bottom