Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
January Makamba.........
+ Deo F.Njombe na yule mama aliyetangaza barua
January Makamba.........
Inawezekana<font size="3"><br />
+ Deo F.Njombe na yule mama aliyetangaza barua</font>
ujumbe kwa cdm. walidhani baraza la mawaziri litavunjika halafu iwe serekali ya msto. waoooooooooooooooooooo, wanaona haya
ujumbe kwa cdm. walidhani baraza la mawaziri litavunjika halafu iwe serekali ya msto. waoooooooooooooooooooo, wanaona haya
Hivi kuna mbunge asiyetaka kuwa waziri au hata cheo kikubwa zaidi? Maana nzima ya kuwa mwanasiasa ni kutafuta madaraka na kuya shikilia. Sasa kuna ubaya gani mbunge akitaka uwaziri?
Ubaya ni implication alioitoa kwamba jamaa walikataa hii bajeti sio sababu ya maslahi ya wananchi bali kwa tamaa ya madaraka.
Hakuna jipya hapo mkuu. Siku zote ndivyo walivyo. Sasa itanishangaza kama speaker kagundua hilo leo baada ya kuwepo kwenye ulingo wa siasa miaka yote hii.
Hivi kuwa mbunge ni wito wa kutetea wananchi au ni ngazi ya kupata vyeo vingine vikubwa (hata kama ni hivyo hio ni siri yao na kama kuna proof mtu anafanya kazi zake kwa maslahi binafsi na sio kwa kutetea wananchi basi huyo kiongozi hafai....) na mtu akikwambia hivyo hakupi sifa bali anakutukana.
namshukuru na kumpongeza kwa vision ayake hii mpya, sasa asiishia hapo tu, ajitahidi kuondoa double standards wakati wa mijadala anayoiongoza na kuwadhibiti naibu wake na wenyeviti wa bunge nao wawe neutral wanapoongoza vikao vya bunge
Its too late, every one is now aware of her callowness on translating laws. It's enough to say that she fortuitously found herself in that chair but she holds no credentials and not in the same league with her predecessor.