Hapo ndo utajua hata ukoloni wa mwanzo uliingia vivyo hivyo kama wa Tripoli, harafu cnn na bbc za wakati huo zikaandika historia eti ya kwamba ma babu zetu walibadirishana kwa kupewa vioo na shanga.
Kuongoza nchi za kiafrika kutoka ktk umasikini kwenda ktk aghalabu hali murua si rahisi, and it is pretty much impossible unless otherwise.