Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Kwani Mkuu wewe huna printer ili ukiprint? Mimi huwa naviprint vingi na kuvigawa. Nawewe kama unaweza fanya ze semu utakuwa umechangia katika kuikomboa nchi hii kutoka kwenye wizi wa akina Lake Oils, ambao saa ya ukombozi ikifika tutawatia mikononi mwa sheria kama watoto wa Saadam, Gadafi na Mubarakh.Duh! Kana habari nzuri, hardcopy wap inapatikana kweli kumekucha... Gadaf out?
Inaonyesha hiki kijarida hukifahamu.Hiki kijarida kinaishia mtandaoni???
Duh! Kana habari nzuri, hardcopy wap inapatikana kweli kumekucha... Gadaf out?