Mo Genius
Senior Member
- Sep 21, 2018
- 135
- 319
Ajakuelewa achana nayeUmeuelewa uzi mkuu
CC Zero IQ
Ajakuelewa achana nayeUmeuelewa uzi mkuu
CC Zero IQ
Umesoma content ya uzi mkuu picha haina uhusiano wowote na mimiMageto yenu ya vyama vya moshi na Arusha ndio mnaturingishia hapa!?
Picha inajieleza, Wewe ni denti vyuo vya moshi na ni first year. Acha kusumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
ss mkuu mbna pakali ivo,mpk na tilesHuo ndio ukweli kijana mwenye Ndoto anaanzia hapa we endelea kukaa kwa mama,
Huwezi kuwa juu bila kutoka chini, uoga wa kuogopa kujitegemea siyo jibu la matatizo yako,
View attachment 1057359
CC Zero IQ
mtu anayelala chini hawez kupata chumba kizuri kama hicho hapa dar.....
Wapi pameandikwa kwamba pale ni dar mkuu
CC Zero IQ
Huo ndio ukweli kijana mwenye Ndoto anaanzia hapa we endelea kukaa kwa mama,
Huwezi kuwa juu bila kutoka chini, uoga wa kuogopa kujitegemea siyo jibu la matatizo yako,
View attachment 1057359
CC Zero IQ
Ndoto au njaa kali hapo,
Nilitegemea bandiko lieleze kijana mwenye ndoto lazima awe na plan
Plana ambayo amei-dissect mwanzo hadi mwisho na kaweka deadlines ya mambo yake ili kum-pressurize ahitimishe jukumu lake mapema
Na mkuu unavyopenda down to earth sio kitoto.Ni muda sasa umefika wa kunipa nafasi
CC Zero IQ
He didn't know the primary purpose of kibanda cha chips = to handle girls with their needs.My Zero iQ made me and now i have kibanda cha chips which deal with me kumiliki kila Aina ya papuchi ninayoitaji
CC Zero IQ
According to your own words.. Am I right?Aiseeeeeee
CC Zero IQ