Ya nini 0??Ni muda sasa umefika wa kunipa nafasi
CC Zero IQ
😂😂😂😂😂Ya kukumiliki uwe mahabuba wangu
CC Zero IQ
😂😂😂kumbe hapo BukobaWapi pameandikwa kwamba pale ni dar mkuu
CC Zero IQ
Mkuu Mm nilivyomuelewaNdoto au njaa kali hapo,
Nilitegemea bandiko lieleze kijana mwenye ndoto lazima awe na plan
Plana ambayo amei-dissect mwanzo hadi mwisho na kaweka deadlines ya mambo yake ili kum-pressurize ahitimishe jukumu lake mapema
Baba Vicky jomonii...where have you been??
Wapi pameandikwa kwamba pale ni dar mkuu
CC Zero IQ
Mkuu Mm nilivyomuelewa
Katika kuonyesha hio picha nmeona neno moja kupitia hio picha.
"UTHUBUTU" ili kijana aweze kufanya yote afanyayo lazima kwanza kabisa awe na uthubutu.
Ila ndo katuwekea picha tujitambue wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo lazima wote waanzie hapo. Usikariri maishaHuo ndio ukweli kijana mwenye Ndoto anaanzia hapa we endelea kukaa kwa mama,
Huwezi kuwa juu bila kutoka chini, uoga wa kuogopa kujitegemea siyo jibu la matatizo yako,
View attachment 1057359
CC Zero IQ