jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Kama hauna plana na maisha ni wewe peke yako na baki na ujinga wako hulazimishwiNimefurahi sana
Maisha yana plan boss
Unaleta siasa katika maisha haswa street life
Hapa unafikiri naongelea plan ipi ya kugonga mademu au?
Ni mpumbavu pekee kwa dunia ya sasa anafanya kitu bila kukiplan before
Lazima uplan na uwe na malengo ya muda mfupi kati na mrefu
Kwa mfano unataka kuendesha maisha yako kwa kilimo namaanisha unataka uwe mkulima mkubwa
Lazima kwanza uanze kidogo kidogo lakini lengo ni kufika pakubwa sasa kwa mwenye akili ataandika chini na atafanya kazi kupitia kwenye mpango kazi wake
Sio lazima afaulu lakini kwa kufanya hivyo anakuwa anajua anatoka wapi au anaenda wapi.