Kijana, kaa mbali na hawa wanawake

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,483
40,500
Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu.

Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini.

Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi, wakiamini wao ni wazuri, na wanapowashirikisha marafiki zao, ni kutaka kuwaaminisha kuwa wanatongozwa kwa sababu ni wazuri.

Mwisho wao, wengi huishia kuishi bila kuolewa au ndoa zao kuvunjika.

Hata humu ndani, wapo wengi sana.
 
Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu.

Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini.

Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi, wakiamini wao ni wazuri, na wanapowashirikisha marafiki zao, ni kutaka kuwaaminisha kuwa wanatongozwa kwa sababu ni wazuri.

Mwisho wao, wengi huishia kuishi bila kuolewa au ndoa zao kuvunjika.

Hata humu ndani, wapo wengi sana.​
Kama huyu?
24c1b58e2317bfe4777123793d5279cf.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom