Kijana huyu anatafutwa.

Kijana huyu anatafutwa.

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
351
Reaction score
181
Kwa jina anaitwa Ally Mohammed.
Ni mwandishi habari kutoka Zanzibar.
nina mpango wa kuanzisha gazeti litakalotoka kila siku.
Ningefurahi nkimuajiri huyo kijana.
Aliwahi kufukuzwa kazi Redioni sababu ya uwekaji huru Demokrasia.

kuna mtu yoyote mwenye details za huyu kijana.
ally mohamed.jpg
 
Kwa jina anaitwa Ally Mohammed.

Ni mwandishi habari kutoka Zanzibar.
nina mpango wa kuanzisha gazeti litakalotoka kila siku.
Ningefurahi nkimuajiri huyo kijana.

Aliwahi kufukuzwa kazi Redioni sababu ya uwekaji huru Demokrasia.

kuna mtu yoyote mwenye details za huyu kijana.
View attachment 358375
Una sh ngapi nikuambie?
 
Back
Top Bottom