Kijana huna wajibu wa kumhudumia Mchumba au mpenzi wako. Usiwe Mjinga

Kijana huna wajibu wa kumhudumia Mchumba au mpenzi wako. Usiwe Mjinga

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,059
Reaction score
79,413
Mpo Salama!

Kumhudumia Mchumba au mpenzi wako huwezi Sifiwa Wala kuonekana mwanaume wa maana mahali popote pale zaidi ya kuonekana kijana asiyejitambua.
Wazazi wako wenyewe waliokuzaa wakisikia kitu kama hicho watakuona hamna kitu.

Ukitaka ujue Jambo hili, siku huyo mwanamke akuache ndio utajigundua kuwa ulikuwa mpimbwe (mtu maamuma).

Kama mwanamke hawezi kujihudumia kwa matumizi yake binafsi huyo hakufai. Kama wao wenyewe wanavyokuona wewe nawe waone vivyohivyo. Kipimo wanachokupimia kitumie hichohicho kuwapimia. Hiyo ndio namna ya kuyakabilia maisha yako kijana wangu.

Akikuambia atachukuliwa na mtu mwingine mwambie aende tuu salama. Nawe utapata mwingine. Usiwe Mjinga.

Kama hawezi kujihudumia mwenyewe achana naye. Atakusumbua huyo.

Hudumia Mkeo. Huo ndio uanaume. Lakini sio kuhudumia mpenzi au Mchumba huko ni kutokujitambua.
Kama unahisi unakiherehere cha kuhudumia muweke ndani awe Mkeo umhudumie huyo mtoto mzuri.

Moja ya ishara ya kuwa huna Akili na kizazi chako kitakuwa Maskini ni kuangalia matumizi yako binafsi. Vipaombele vyako.

Mwenye jukumu la kumtunza mwanamke ambaye hajaolewa ni Babaake, au ndugu zake wa kiume.

Ukishamuoa ndio unakuwa na huo wajibu.

Kupeana zawadi ni Jambo la kawaida kwa Watu wanaopendana.
Lakini kumhudumia mtu ni suala la kiwajibu na kimajukumu na yapo chini ya Sheria za asili, za Dini na Sheria za nchi.

Sheria zote hizo hazikuruhusu kumhudumia Mchumba au mpenzi. Ogopa matapeli!

Jioni njema
 
Mpo Salama!

Kumhudumia Mchumba au mpenzi wako huwezi Sifiwa Wala kuonekana mwanaume wa maana mahali popote pale zaidi ya kuonekana kijana asiyejitambua.
Wazazi wako wenyewe waliokuzaa wakisikia kitu kama hicho watakuona hamna kitu.

Ukitaka ujue Jambo hili, siku huyo mwanamke akuache ndio utajigundua kuwa ulikuwa mpimbwe (mtu maamuma).

Kama mwanamke hawezi kujihudumia kwa matumizi yake binafsi huyo hakufai. Kama wao wenyewe wanavyokuona wewe nawe waone vivyohivyo. Kipimo wanachokupimia kitumie hichohicho kuwapimia. Hiyo ndio namna ya kuyakabilia maisha yako kijana wangu.

Akikuambia atachukuliwa na mtu mwingine mwambie aende tuu salama. Nawe utapata mwingine. Usiwe Mjinga.

Kama hawezi kujihudumia mwenyewe achana naye. Atakusumbua huyo.

Hudumia Mkeo. Huo ndio uanaume.
Lakini sio kuhudumia mpenzi au Mchumba huko ni kutokujitambua.
Kama unahisi unakiherehere cha kuhudumia muweke ndani awe Mkeo umhudumie huyo mtoto mzuri.

Moja ya ishara ya kuwa huna Akili na kizazi chako kitakuwa Maskini ni kuangalia matumizi yako binafsi. Vipaombele vyako.

Mwenye jukumu la kumtunza mwanamke ambaye hajaolewa ni Babaake, au ndugu zake wa kiume.

Ukishamuoa ndio unakuwa na huo wajibu.

Kupeana zawadi ni Jambo la kawaida kwa Watu wanaopendana.
Lakini kumhudumia mtu ni suala la kiwajibu na kimajukumu na yapo chini ya Sheria za asili, za Dini na Sheria za nchi.

Sheria zote hizo hazikuruhusu kumhudumia Mchumba au mpenzi. Ogopa matapeli!

Jioni njema
eddo wa Jemima Mrembo anahudumia hadi Babu mkwe wa girlfriend
 
Binafsi Vitu vya bure bure sifagilii.

Hata K ya bure bure Siitaki, Lazima nigharamie bila shuruti.

Yatakua mapenzi gani, Nishindwe kumnunulia Demu wangu hata Mafuta, Perfume, sijui vocha kmmke.

Yeye anafanya hayo?
Kama anafanya Sawa upo Sahihi lakini kama hafanyi na unaona Sawa ujue unatatizo la MSINGI.

Mapenzi ni huduma ambayo mnahitajiana, yeye anashida na wewe unashida. So huo ubure unatoka wapi?

Au unadhani wao hawana genye??

Wewe ukimridhisha Mchumba wako au mpenzi wako kitandani anakulipa Kiasi gani?
 
Mwanaume akikosa pesa huwa na mipango mingi na maelezo mengiii yasiyokuwa na mwisho.
Kubali huna pesa na ndio maana huwezi kuhonga.
Wenzio wanahonga sio pesa tu mpaka nyumba magari Vito na madini ya thamani.
 
Usishtue wajinga acha waendelee kuhonga ili sisi wenye malengo na pesa zetu tusisumbuliwe , demu tunakula wote boya mmoja anahonga sisi pesa yetu tuna save kufanya maendeleo na huyo demu mwenyewe hatuna malengo nae akiamue apite hivi fresh tu
 
Back
Top Bottom