binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,304
- 41,430
Acha janja janja, leta picha nzuri ya Riri.Ingekua vizuri wewe ndie ungeleta hizo picha za wakina serena gomez. Maana kila mtu akitaka nitumie picha anayoitaka yeye nitakua na kazi nzito sana
Biology don't negotiate with feminismLakini naelewa, naelewa sana kwanini wanaume wanaelekezwa kudate katika age gape kubwa.
Sababu sio sana za kibayolojia. Sababu hiyo hiyo bayoloji inamuadhibu mwanaume kwa mambo fulani fulani. Wanaume wakubwa mnaelewa msijitoe ufahamu.
Sababu nyingi ni za kisaikolojia, Ndoa imejengwa katika misingi ya “manipulation &control” Truth is …. when a woman develops her frontal lobe ni ngumu kumfanyia michezo asielewe na asikuhold accountable , na kikawaida wanaume ni watu wa michezo michezo, if you know you know.
So yah, to be safe oa mtu mdogo sana kwako tena before her 27! 😅
Only men who want partners can date/marry they are age mates.
Picha nimeletaAcha janja janja, leta picha nzuri ya Riri.
We ndio mwenye mada.
Deep down unajua nime point ukweli, ukweli ambao huwezi kuuongelea, ofcoz hatutakiwi kuujua sana.Biology don't negotiate with feminism
Jiwe gizani.Sababu hiyo hiyo bayoloji inamuadhibu mwanaume kwa mambo fulani fulani. Wanaume wakubwa mnaelewa msijitoe ufahamu.
Na kwasababu sitaki mtu yeyote ajisikie vibaya sitaki kueleza hilo! 😅Jiwe gizani.
Commitment yako ya kutaka tuone unachotaka ni nzuri sana mwanetu! 😂👊🏻Picha nimeleta
WHONi taasisi gani ilifanya huu utafiti
Deep down unajua nime point ukweli, ukweli ambao huwezi kuuongelea, ofcoz hatutakiwi kuujua sana.
I don’t think if it has something to do with feminism.
Unavyom-challenge mtu lazima uje na vielelezo vyako. Sasa mimi nimekuja na vielelezo vyangu wewe umenipinga halafu unataka mimi ndio nilete vielelezo vya kutetea hoja yako. Are you serious.!Commitment yako ya kutaka tuone unachotaka ni nzuri sana mwanetu! 😂👊🏻
Sasa huu ni utoto!!!!!!! Trust me!Unavyom-challenge mtu lazima uje na vielelezo vyako. Sasa mimi nimekuja na vielelezo vyangu wewe umenipinga halafu unataka mimi ndio nilete vielelezo vya kutetea hoja yako. Are you serious.!
Sababu yoyote utakayoifanyia ulinganisho. Hili mzani uweze kubalance ni lazima mwanaume awe amemzidi mwanamke kwa mbali kidogoNatafuta Ajira Ulichoniambatabisha hapo juu nani asiyekijua?
Na hukuona kuwa nimeongeza kwenye hilo, didn’t i mention that biology isn’t the only reason huh?
Mbali kidogo!Sababu yoyote utakayoifanyia ulinganisho. Hili mzani uweze kubalance ni lazima mwanaume awe amemzidi mwanamke kwa mbali kidogo
Mimi kwenye gallery yangu sina picha ya serena gomez wala ya criss akiwa kama teja ambazo wewe unataka zitumike kama reference. Ndio maana nikasema zilete wewe. Kipi ambacho haujaelewa?Sasa huu ni utoto!!!!!!! Trust me!
Yap, na nimependekeza pale juu 8-15Mbali kidogo!
Nimeelewa, nilikuwa nakwambia kuwa umetemper na vielelezo bwana shemeji!! Umechagua vielelezo vya kufavor mada yako.Mimi kwenye gallery yangu sina picha ya serena gomez wala ya criss akiwa kama teja ambazo wewe unataka zitumike kama reference. Ndio maana nikasema zilete wewe. Kipi ambacho haujaelewa?
Milango ipo wazi nawe kuja na vielelezo vyakoNimeelewa, nilikuwa nakwambia kuwa umetemper na vielelezo bwana shemeji!! Umechagua vielelezo vya kufavor mada yako.
Anyways sio big deal, mada ya leo haujapingwa hata kidogo nakuona unavyosherehekea 🤣
Watu wamekumbatiwa saa hii tumebaki sisi sumajeikeiti.Wakina Seran hawapo 😅