Kijana badilika acha huu ujinga mara moja

Kijana badilika acha huu ujinga mara moja

puker

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
1,024
Reaction score
2,088
Habar za muda huu, wana JF ujumbe huu uende kwa kijana yeyote anaitaka kesho iliyo njema.

Matajiri wanaishi kama masikini na masikini kama matajiri, Tajiri ananunua simu ya sh 300,000/= na anatoa 4p airtime ya mwezi mzima.

Masikini ananunua simu ya sh 1,200,000 na anajiunga kifurushi cha tsh 1000/= kwa siku mfanyakazi anapokea mshahara wa tsh 750,000/= na anafanya birthday part ya sh 1,000,000/=

Vijana wa shamba wanaoishi mikoani kazuramimba kila mwisho wa mwezi ananunua debe 6 za mchele, debe moja ni sh 30, 000/= kwa mwezi ni 180,000 Tayari ni gunia moja.

Baadhi ya vijana wa dar wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Kijana wa kigoma anayenunua debe 6 za mchele kila mwezi kwa mwaka anakuwa na jumla ya debe 72 ambazo ni sawa na gunia 12 za mchele mwisho wa mwaka.

Mwaka mmoja una weekend 52 kama wewe ni mzee wa kula bata na kila weekend anatumia sh 100,000 basi kwa mwaka anakuwa anatumia sh 5,200,000/= je hii pesa kama ungeitumia kama yule kijana wa kigoma anayenunua debe 6 kila mwisho wa mwezi unafikiria ungekuwa wapi?

Je unajua magazeti yanayoandika bei za mazao Tanzania? Unajua maana ya standing order back. Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila baadhi ya vijana wanaweka akiba 180,000/= ya kutumia kila ijumaa na masister duu na kupiga picha za kuweka Instagram.

Tumepewa akili kubwa sana na mwenyezi Mungu ila social media imetufanya tupende kusoma udaku na mapenzi.

Badilisha mfumo wa matumizi ya smart phone, ubadili fikra na ufute marafiki wanaokupa habari za umbea.

Change today for the better tomorrow.
 
Kweli Mkuu...umenena haswa..Vijana wanawaza papuchi na kujirusha...

Lakini siwashangani Mimi nlikua Nlikua napata hela nyingi...nlikua napanda bajaji,nanunua nguo na viatu na manywele na kupanga nyumba za garama kijitonyama...bila kusahau kununua iPhone kila ikitoka.

Nikikumbuka nasikitika sanaa..japo Sio mzee lakini I wasted my money and time.

Vijana Tumieni pesa na muda vizuri.
 
Kweli Mkuu...umenena haswa..Vijana wanawaza papuchi na kujirusha...

Lakini siwashangani Mimi nlikua NAPATA hela nyingi...nlikua napanda bajaji,nanunua nguo na viatu na manywele na kupanga nyumba za garama kijitonyama...bila kusahau kununua iPhone kila ikitoka.

Nikikumbuka nasikitika sanaa..japo Sio mzee lakini I wasted my money and time.

Vijana Tumieni pesa na muda vizuri.
Subiri uzee ukifika kama hawajauza madodoki sikoni na kuuza mifagio ya Chelewa
 
Una ushauri gani kwa wale vijana ambao Bata lao ni bangi na mademu wao no sabuni?
Ushauri wangu ni kwamba wanaharibu mfumo wa akili na mwili hivyo hawezi kuwaza vizuri kama atokuwa na AFya nzuri ya mwili na akili
 
Doooh sasa hii kali mimi mfanyakazi makura kuku mzima boss anakura kidaliNakunywa Kitu inaitwa ainess chupa nzima boss anakunywa safali lager
 
Asingeacha kuhadithi jinsi alivyomla shemeji yake porini..kimasihara
aisee inawezekana jamaa kaongea kitu muhimu au kipya kwako. Lakini kwa sisi wengine tushakisikia saaaaaana, na tushajaribu au kuwaona waliojaribu kukifanyia kazi.

Lakini believe me there is no straight way to success. Kama ingekuwepo Basi Kila mtu angeifuata





Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom