aaaah unasema nyuma ya keyboard yako tu kwanza ajira zilivyo ngumu hawawezi kumsaidia kwa kuogopa kukosa ajiraKweli mijitu mingine mijinga kweli kweli!
Walimfanya nini huyo Mchina??
Kila raia ni mlinzi wa Usalama wa binadamu yeyote! Mchina alifaa afikishwe kitu cha Polisi mzobezobe! Acheni Ujinga na tukiendelea hivi utumwa nje nje! Washenzi wa aina hiyo wafe na pesa zao mbele !
Yaani Mkovu yamesha pona leo mnaleta stori? Any way ! Alipataje matibabu? Je alipewa PF#3?
yap hili ni jambo la kheriHuyu kijana ahojiwe na BBC hii habari is ambae duniani na hiyo clip iwekwe you tube
Kijana huyu ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye kiwanda cha kutengenezea viatu vya yeboyebo ambapo mmiliki wa hicho kiwanda ni mtu mwenye asili ya China (Mchina).
Kwa mujibu wa kijana huyo anadai muajiri wake huyo mchina alimtupa kwenye banda la mbwa wanne ambao watatu ndio walimshambulia na yeye akawa anapambana nao.
Mmoja wa mbwa hao wanne alikuwa mbwa mkubwa ambaye hakumshambulia ila alipoona kijana ameanguka chini na hawezi kupambana tena na wale watatu ndipo alipowakoromea mbwa hao wengine watatu wakaacha kumshambulia
Baadae wafanyakazi wengine wa kiwanda walikuja kumtoa kijana huyo hospitali na akenda kujitibu lakini kutokana na uhaba wa fedha hajapona vizuri mpaka sasa
Kisa cha muajiri huyo kufanya hivyo kwa mujibu wa kijana anasema alimwambia kuwa hawezi kufanya kazikatika kitendo ambacho alipangiwa kwa kua kulikuwa na moshi mkali
Msikilize zaidi hapa
Katika mambo kama haya hutasikia hizo mamlaka, ila sema tu unaandamana ndiyo utazisikia mpk kwny TVNa sio ajabu mamlaka zipo na zina taarifa lakini kwa kuwa haina uchochezi, hawahangaiki mpaka pale mchina huyo atakapokosa uzalendo! Ni aibu kwa mamlaka za kukamata na kushtaki kwani kila opd ya hosptali ya umma kuna dawati la polisi lenye kutoa form ya ruhusa ya kupata matibabu (pf 3) hasa kama maumivu hayo yamaesababishwa na mwingine. Kama ana hiyo pf3 aishtaki polisi kwa kutomtimizia hitaji lake la kumkamata mchina na kumshtaki kwa mbwa wake kumshambukia ili wale mbwa wawekwe chini ya ulinzi pamoja na mwenye nao! Nchi nyingine hukuti ujinga huu!
Kijana huyu ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye kiwanda cha kutengenezea viatu vya yeboyebo ambapo mmiliki wa hicho kiwanda ni mtu mwenye asili ya China (Mchina).
Kwa mujibu wa kijana huyo anadai muajiri wake huyo mchina alimtupa kwenye banda la mbwa wanne ambao watatu ndio walimshambulia na yeye akawa anapambana nao.
Mmoja wa mbwa hao wanne alikuwa mbwa mkubwa ambaye hakumshambulia ila alipoona kijana ameanguka chini na hawezi kupambana tena na wale watatu ndipo alipowakoromea mbwa hao wengine watatu wakaacha kumshambulia
Baadae wafanyakazi wengine wa kiwanda walikuja kumtoa kijana huyo hospitali na akenda kujitibu lakini kutokana na uhaba wa fedha hajapona vizuri mpaka sasa
Kisa cha muajiri huyo kufanya hivyo kwa mujibu wa kijana anasema alimwambia kuwa hawezi kufanya kazikatika kitendo ambacho alipangiwa kwa kua kulikuwa na moshi mkali
Msikilize zaidi hapa
sas wwe hapo uvivu wake nini alishasema awezi fanya kazi kwenye sehemu yenye moshi mkali ..Sisi ni wavivu!okay twende kwenye mada mchina amechukuliwa hatua gani,
Mkuu hawa Wachina wana tochi zao za shoti, yani akikumulika unapigwa shoti na kuishiwa nguvu kwa muda na unakuwa huna ujanja. Pengine alitumia mbinu hiyo kufanikisha unyanyasaji alioukusudia.Mi pamoja na uanamke nimejiuliza amemtupaje,mana na huu uanamke sijui km angeweza,,angetumia muda mrefu sn mpk afanikiwe,,,labda km kamuingiza kwa akili sn ila si kumtupa
Nlisikza heka heka, ni kuwa mchina alimwambia twende godown nkakuonyeshe kazi zngne, ndpo akamfungulia mbwa huko godown ndani.yaan bado cjaelewa huyo mchina alikuwa na nguvu gani hadi kumtupa huyo jamaa kwenye banda, kwanza kitendo cha kunishika tu pangechimbika!
Alifaa kumfungulia mbwa wa muumeMi pamoja na uanamke nimejiuliza amemtupaje,mana na huu uanamke sijui km angeweza,,angetumia muda mrefu sn mpk afanikiwe,,,labda km kamuingiza kwa akili sn ila si kumtupa
ujue hata mie zamani nilikuwa nashangaa asa mwaarabu wawili na gobole wanasafirisha watumwa 100 ujinga gani huuyaan bado cjaelewa huyo mchina alikuwa na nguvu gani hadi kumtupa huyo jamaa kwenye banda, kwanza kitendo cha kunishika tu pangechimbika!
Siyo wachina wote wanajuwa karate mkuu wangine mambwiga tu,wewe unadhani kila anaetoka brasil anajuwa kucheza mpira.Wewe unaongea kirahisi tu, pengine huyo mchina ni black belt, kifinyo chake ni heri uende kudokolewa na dog
Usiongee ivyo kijana,sasa mfano upo ndani ya fensi ungefanyaje kama weweyaan bado cjaelewa huyo mchina alikuwa na nguvu gani hadi kumtupa huyo jamaa kwenye banda, kwanza kitendo cha kunishika tu pangechimbika!