OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Mtoto wetu huyu amekufa bila hatia, moja kwa moja huyu anakuwa miongoni mwa malaika ila kitu cha kukumbuka damu hizi safi changa zisizo na hati huwa zinalia na majibu yake ni haraka sikilizia tuu siku chache zijazo utasikia kilio kutoka upande wa pili! Amir ni kiongozi, umetuongoza vyema pumzika kwa amani!!