Kuna kijana yupo gongo la mboto wazazi wake wote wawili wamelipuliwa na kufa kwa mabomu ya gongo la mboto, anatafuta wanasheria ili afungue kesi dhidi ya serikali kwa uzembe huu uliopindukia madai yake ni,
1. Familia yake ina hati ya makazi husika
2. Wazazi wake wote wamefaliki kwa mabomu
3. Anadai mwinyi na mwamunyange kufikishwa mahakamani
4. Anadai watu hao watimuliwe kazi
5. Anadai serikali ihudumie maisha yake mpaka kufa au imuue na yeye
6. Anadai tamko la serikali kuhusu kuhamisha maghala haya maeneo ya watu
7. Anadai bendera ishushwe nusu mlingoti kwa siku 100
8. Anadai wale wengine wote waliosababisha tukio hili kufukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani.
Je wanasheria mpo? Wapi marando, wapi wakongwe wote wa sheria? Wapi mtikila? Wapi tls? Wapi haki za binadamu? Anatafuta msaada amesema haiwezekani viongozi wanamtembelea wanachekacheka kana kwamba wamefurahia tukio hili kubwa na lisilo sahaulika kwake maisha yake yote.
1. Familia yake ina hati ya makazi husika
2. Wazazi wake wote wamefaliki kwa mabomu
3. Anadai mwinyi na mwamunyange kufikishwa mahakamani
4. Anadai watu hao watimuliwe kazi
5. Anadai serikali ihudumie maisha yake mpaka kufa au imuue na yeye
6. Anadai tamko la serikali kuhusu kuhamisha maghala haya maeneo ya watu
7. Anadai bendera ishushwe nusu mlingoti kwa siku 100
8. Anadai wale wengine wote waliosababisha tukio hili kufukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani.
Je wanasheria mpo? Wapi marando, wapi wakongwe wote wa sheria? Wapi mtikila? Wapi tls? Wapi haki za binadamu? Anatafuta msaada amesema haiwezekani viongozi wanamtembelea wanachekacheka kana kwamba wamefurahia tukio hili kubwa na lisilo sahaulika kwake maisha yake yote.