alexander paulo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 492
- 155
japokuwa kijana alichafuliwa sana apa katika mtandao kuwa kapewa pesa na cdm na pia hata wakati wa upigaji kura kijana bado alikuwa anachafuliwa sana ndo kawa raisi wa chuo kikuu ardhi poleni sana wale mnaopewa vijipesa kuchafua watu KAMA MUNGU KAPANGA HAKUNA WA KUBADILISHA@ A-Z pole kijana na timu yako ndo siasa kijana jipange upya